Ibrahim Bacca top defender, tumpeni maua yake

Ibrahim Bacca top defender, tumpeni maua yake

Mbona hii comment yako ni kama umekabwa na kitu kigumu kooni.
Huyu mtoto anastahili hizi sifa ni beki aliekamilika anaweza cheza mipira ya juu kwa asilimia mia moja.
Anauwezo wa kucheza mipira ya chini anapiga tackling za akili sana kifupi bwana mdogo ni beki hasa.
Timu gani kwani kacheza nazo mzee... Majimaji ya S.A ile.
 
Mlivyowapiga 3 hatimae mkafuzu semi final
Kwahiyo nyie mlivyowapiga Leo hizo 2 tayar mshafuzu kwenda fainal?
Au umeujua Leo mpira .
Mpira una matokeo ya kikatili sana ,tamba Hadi filimbi ya mwisho ipulizwe .
Hii game Bado mbichi ,tutarud tena hapa kukumbushana.
 
Kwahiyo nyie mlivyowapiga Leo hizo 2 tayar mshafuzu kwenda fainal?
Au umeujua Leo mpira .
Mpira una matokeo ya kikatili sana ,tamba Hadi filimbi ya mwisho ipulizwe .
Hii game Bado mbichi ,tutarud tena hapa kukumbushana.
Naona umedandia train kwa mbele ungemsoma huyo niliyemquote ungeelewa kwa vilevile wote ni makolo hamuwezi kuelewa
 
Nazungumzia kuwapiga kama tulivyokupiga wewe.... Sisi tunakuona wewe kibonde tumekupiga goli 2 kumbe huko shirikisho kuna Vibonde Zaidi yako duh...!
Mwaka huu mna makombe mengi pamoja ilo kombe mlilotufunga 2-0
 
lile jina la ZANZIBAR FINEST lipokonywe kwa yule mwehu akili mbili,apewe huyu jamaa
Huyu dogo alijikuta yeye mjuvi eti kuliko kina Lunyamila, kina Ngasa,kina Ngoma, kina Tambwe,kina Ngoma, kina Kiiza, kina Haaland Mayele.

Sasa hivi ana waya waya mitaani kama chokolaa wakati ana nyumbani, mtoto hamnazo kabisa.
 
🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹💪💪💪 Bacca ametisha sana! Maua kama yote now now! Big up Bacca unakaba miguu, kichwa bukta, mikono, kivuli hadi jamaa wanaomba poo!! Mo akija basi tuambie Huku utopoloni usifanye kama Feisal. Kaharibu sana!

Huu ukuta WA Yanga wa Sasa chini ya Nondo na Bacca Huku Dickson Job na Lomalisa au Kibwana na Djuma Soja ya Pemba , Sasa umefikia Kiwango sawa kabisa au kuzidi ule ukuta WA Italia wa kina Maldini, Nesta na wengine!!

Tukumbuke Leo Yanga wamepewa TSH 20 million za Bimkubwa Samia au ni zaidi? , Makolo washasahau hizo Mawe maana waliumaliza mwendo long fk ago!! Poleni sana Mbumbumbu japo makombe yenu ya kufa kiume utopoloni tunayaonea wivu!

Haya wajumbe wa CAF Toka Mbumbumbu kolokoloni fc njooni Sasa mseme kushinda nusu nusu fainali Shirikisho cup ni sawa na timu iliyoshinda hatua ya awali club bingwa!! Mnatia huruma sana Makolo!!

Kweli fungu la kukosa ni aibu sana, msimbazi imeloa imelooooa, yaani hata kombe la ndondo mmeshindwa kubeba mwaka huu? bilioni 800 za MBet ziko wapi? mmegawana viongozi?
we love him BACCA
 
Back
Top Bottom