Ibrahim Bacca top defender, tumpeni maua yake

Timu gani kwani kacheza nazo mzee... Majimaji ya S.A ile.
 
Mlivyowapiga 3 hatimae mkafuzu semi final
Kwahiyo nyie mlivyowapiga Leo hizo 2 tayar mshafuzu kwenda fainal?
Au umeujua Leo mpira .
Mpira una matokeo ya kikatili sana ,tamba Hadi filimbi ya mwisho ipulizwe .
Hii game Bado mbichi ,tutarud tena hapa kukumbushana.
 
Kwahiyo nyie mlivyowapiga Leo hizo 2 tayar mshafuzu kwenda fainal?
Au umeujua Leo mpira .
Mpira una matokeo ya kikatili sana ,tamba Hadi filimbi ya mwisho ipulizwe .
Hii game Bado mbichi ,tutarud tena hapa kukumbushana.
Naona umedandia train kwa mbele ungemsoma huyo niliyemquote ungeelewa kwa vilevile wote ni makolo hamuwezi kuelewa
 
Mlivyowapiga 3 hatimae mkafuzu semi final
Nazungumzia kuwapiga kama tulivyokupiga wewe.... Sisi tunakuona wewe kibonde tumekupiga goli 2 kumbe huko shirikisho kuna Vibonde Zaidi yako duh...!
 
Nazungumzia kuwapiga kama tulivyokupiga wewe.... Sisi tunakuona wewe kibonde tumekupiga goli 2 kumbe huko shirikisho kuna Vibonde Zaidi yako duh...!
Mwaka huu mna makombe mengi pamoja ilo kombe mlilotufunga 2-0
 
lile jina la ZANZIBAR FINEST lipokonywe kwa yule mwehu akili mbili,apewe huyu jamaa
Huyu dogo alijikuta yeye mjuvi eti kuliko kina Lunyamila, kina Ngasa,kina Ngoma, kina Tambwe,kina Ngoma, kina Kiiza, kina Haaland Mayele.

Sasa hivi ana waya waya mitaani kama chokolaa wakati ana nyumbani, mtoto hamnazo kabisa.
 
we love him BACCA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ