Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Bondia wa Tanzania, Ibra Class (Mawe) amemshinda kwa TKO dhidi ya Bondia wa Zimbabwe, Ndodana Ncube.
Pambano hilo lilikuwa la roundi kumi lakini kufikia roundi ya nane Ndodana Ncube kuanguka na kushindwa kuinuka baada ya kuhesabiwa.
Pambano hilo lilifanyika viwanja vya Mkwakwani, Tanga, usiku wa kuamkia Januari 29, 2023.
Pambano hilo lilikuwa la roundi kumi lakini kufikia roundi ya nane Ndodana Ncube kuanguka na kushindwa kuinuka baada ya kuhesabiwa.
Pambano hilo lilifanyika viwanja vya Mkwakwani, Tanga, usiku wa kuamkia Januari 29, 2023.