Ibrahim Class: Bondia mzuri Tanzania kwa sasa

Judges wote walimpa ushindi na ni kweli alistahili, but tofauti ya point ilikuwa ndogo, wakati Ibra Class ali dominate game mwanzo mwisho


🤣Hata kila judge angalimpa point nyingi (big margin) Ibra Class lakini bado matokeo yangalikuwa ni hayohayo (Ananimous decision).

Kwani katika ngumi kuna matokeo manne:- 1--- split decision, 2--Ananimous decision, 3-- knockout, 4--Technical knockout.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…