Ibrahim masoud 'maestro' atua E FM 93.7

Ibrahim masoud 'maestro' atua E FM 93.7

Hivi katanga juzi aliteuliwa kuwa msemaji wa chama cha soka wilaya ya kinindoni kumbe anakuwa na kazi mbili.
 
Nitakumiss maestro, Hadi hiyo E fm ifike huku nilipo nadhani utakuwa umeshahama na hapo
 
Mimi nipo zenj ila nawapata kupitia tunein vzr tu hao E.fm
 
Siku za karibuni alikua anaonekana kama hana amani pale kwenye kipindi cha michezo hata ikifika nafasi ya kuchangia lile jitu jeusi lwambano lilikua kama linampotezea flani tofauti na zamu ya dauda. Niliona kbs huyu jamaa anaweza kufanya maamuzi magumu! Matokeo yake ndio hayo sasa kipindi cha michezo pale clouds kimebaki na majitu meusi matupu!..

Hahahahaaaaaa
 
apunguze ujuaji tu maana full ujuaji huyo masoud

Hilo tatizo kubwa la Maestro, kwa vile ana idea ya ukocha basi hataki hata kujisumbua kufuatilia mambo mapya amebaki na yaleyale anayoyafahamu kwenye ukocha anataka afundishe watu mpira kwenye TV?hana latest info Tatizo kubwa sana hili kwenye ulimwengu wa sasa wa teknolojia. matokeo yake vijana wapya wanakuja wanamfunika!...
 
hatimaye mzoga umepata mwewe wa kuunyakua...
 
eti humpendi! amekukosea nini?! au ndio chuki bure? endelea kumchukia lakini sidhani kama unampunguzia kitu.

Wewe ndiye maestro eeh?Katika comments zote humu umeona hii yangu tu.SIMPENDI,kama imekuuma sana kanywe tindikali.
Nasema ninachojisikia.
 
Back
Top Bottom