Siku za karibuni alikua anaonekana kama hana amani pale kwenye kipindi cha michezo hata ikifika nafasi ya kuchangia lile jitu jeusi lwambano lilikua kama linampotezea flani tofauti na zamu ya dauda. Niliona kbs huyu jamaa anaweza kufanya maamuzi magumu! Matokeo yake ndio hayo sasa kipindi cha michezo pale clouds kimebaki na majitu meusi matupu!..
apunguze ujuaji tu maana full ujuaji huyo masoud
apunguze ujuaji tu maana full ujuaji huyo masoud
Nasikia wanalipwa laki 8 kwa mwezi.
Umeona eeh?Simpendi kweli yani.
apunguze ujuaji tu maana full ujuaji huyo masoud
Nitakumiss maestro, Hadi hiyo E fm ifike huku nilipo nadhani utakuwa umeshahama na hapo
hatimaye mzoga umepata mwewe wa kuunyakua...
eti humpendi! amekukosea nini?! au ndio chuki bure? endelea kumchukia lakini sidhani kama unampunguzia kitu.
hatimaye mzoga umepata mwewe wa kuunyakua...