GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Tafadhali kama huyo Mchezaji wako Nassoro Kapama kakupa Pesa ili Umfagilie na asiachwe na Simba SC acha mara moja au anzisha Timu yako ya Mpira wa Miguu kisha Msajili katika Timy yako akufanyie Kazi sawa?
Tena GENTAMYCINE nikuchane Mubashara hapa hapa JamiiForums kuwa kama kuna mchezaji mbovu, mzigo na hana Hadhi ya Kuichezea Simba SC yetu / yangu ni huyu Nassoro Kapama na Gadiel Michael Kamagi.
Tena GENTAMYCINE nikuchane Mubashara hapa hapa JamiiForums kuwa kama kuna mchezaji mbovu, mzigo na hana Hadhi ya Kuichezea Simba SC yetu / yangu ni huyu Nassoro Kapama na Gadiel Michael Kamagi.