Ibrahim Ngogo: Ametoa wito kwa wajumbe wa chama hicho kumpigia kura Tundu Lissu

Ibrahim Ngogo: Ametoa wito kwa wajumbe wa chama hicho kumpigia kura Tundu Lissu

Mbangaizaji wa Taifa

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
493
Reaction score
844
IMG-20241225-WA0277.jpg


Naona mdogo mtu akiwa anamsapoti Freeman Mbowe wakati kaka mtu yeye akiwa anamsapoti Lissu,

Msikilize jamaa kamchana chana vibaya Freeman Mbowe kwa hoja tano.
======================
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Makete, Ibrahim Ngogo, ametoa wito kwa wajumbe wa chama hicho kumpigia kura Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Tundu Lissu, katika uchaguzi wa uenyekiti wa taifa unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni.

Ngogo amesema kuwa Lissu ametoa mchango mkubwa kwa chama, akitaja kuwa nusu ya maisha yake ameyaweka rehani kwa ajili ya kukitetea CHADEMA na wananchi wa Tanzania.

Ngogo amesisitiza kuwa ni wakati wa Freeman Mbowe kuachia nafasi ya uenyekiti na kumpa fursa Lissu ili kuimarisha chama na kudumisha amani nchini.
 
Mbowe asiwategemee kabisa wajumbe kutoka Nyanda za juu kusini.

CHADEMA walishaishika mikoa yote ya Nyanda za juu kusini Ila Ukigeugeu wa Mbowe umeifaidisha CCM.
 
Sultani Mbowe kachokwa sana Imagine 20yrs utasema kaandikiwa na Daktari Uenyekiti wa CHADEMA.
 
Amemtadharisha mbowe kuwa anavyowajua wanachadema ni wajanja sana watamlia hela na hawatampa kura.
Jamaa huyu ni kichwa balaa anashusha verse tu
 
View attachment 3185083

Naona mdogo mtu akiwa anamsapoti Freeman Mbowe wakati kaka mtu yeye akiwa anamsapoti Lissu,

Msikilize jamaa kamchana chana vibaya Freeman Mbowe kwa hoja tano.
======================
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Makete, Ibrahim Ngogo, ametoa wito kwa wajumbe wa chama hicho kumpigia kura Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Tundu Lissu, katika uchaguzi wa uenyekiti wa taifa unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni.

Ngogo amesema kuwa Lissu ametoa mchango mkubwa kwa chama, akitaja kuwa nusu ya maisha yake ameyaweka rehani kwa ajili ya kukitetea CHADEMA na wananchi wa Tanzania.

Ngogo amesisitiza kuwa ni wakati wa Freeman Mbowe kuachia nafasi ya uenyekiti na kumpa fursa Lissu ili kuimarisha chama na kudumisha amani nchini.
Yuko sahihi, tatizo fuba alilopewa mwenyekiti
 
Back
Top Bottom