Mbunge wa mji mkongwe kupitia CUF,amepata suprise baada ya kutembelewa ghafla na mke wake huko dodoma.mbunge huyu alishangaa kumkuta mkewe yuko reception akimsubiria.
kaja kukusanya allowances wanajega pale mfenesini hahaaaaaaa wanataka kuhama kule mwembeladu sababu walikosa nyumba ya kununua kiembe samaki hivyo hawana sabahu tena ya kupangisha nyumba yao mwembemakumbi ingawa mtoto wao anasoma skuli ya mnazi mmoja