Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,440
- 8,149
Bensouda alikuwa anategemea ushirikiano kutoka serikali ya Kenya ambayo inaongozwa na huyo huyo Uhuru Kenyatta.
Binafsi sidhani kama Uhuru hana hatia lakini pia sidhani kama kuna ushahidi wa kutosha kumpata na hatia mahakamani kwa sababu ya mambo kama witness tampering n.k.
Sasa amini uhuru hana hatia, wenye hatia ni raila na kibaki