Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usinambie bidada, ila namuamini sababu ni rol modo wangu ata akiwa domo zege amesha kumiliki tayari, mimi ata kuwapa salam wakina bidada ni issue kubwaYe mwenyewe domo zege, tangu niwe nae hajawahi kuchepuka hata na hausigeli
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh poleUsinambie bidada, ila namuamini sababu ni rol modo wangu ata akiwa domo zege amesha kumiliki tayari, mimi ata kuwapa salam wakina bidada ni issue kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ayo mambo ya kunambia nikupe mda ni ya wakina bidada wakati unawamwagia madini mkuu rol modo
Kiukweli nazikubali nyingi tu nilianza kuangalia kama nimetajwa kabla zijaanza kuweka kwa upande wangu.
[emoji23]lakini mkuu umenistukiza nilienda kucheki profile yako nikakutana na mada yako ya u domo zege basi anza kumsalimia Miss Natafuta na DemissAyo mambo ya kunambia nikupe mda ni ya wakina bidada wakati unawamwagia madini mkuu rol modo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesha poa bidada, ila kama unataka na wewe nikukubali, nipe maana ya Id yako bidada
Haina maana mkuuNimesha poa bidada, ila kama unataka na wewe nikukubali, nipe maana ya Id yako bidada
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] aah wapi njoo uone kama nitakung'ang'ania mimi
Ngoja nijaribu[emoji23][emoji23][emoji23] aah wapi njoo uone kama nitakung'ang'ania mimi
Sent using Jamii Forums mobile app