Niuzie Mimi mkuuKuna id haziwezi uzika yani Kama ya kwangu sio kuuza bali nakupa halafu ili uikubali nakupa na tuhela..🤣 Yani Kama ni thamani yake Basi ni sawa na negative 10000. It means hata hata nikikupa I'd bado unanidai na tuhela twa kubembelezea ili uikubali..😅
Nitakupa Mimi hela au we ndo utanilipa..?Niuzie Mimi mkuu
kwakuwa yaliyomo yamo nitakupa mimiNitakupa Mimi hela au we ndo utanilipa..?
Mine is priceless!Ikitokea kuna mtu anajitokeza kununua ID za jf, wewe yakwako utaiuza kwa shilingi ngapi?
Don't be bias, sema tu kwa uonavyo wewe thamani ya ID yako kwenye platform hii.
Maana kuna watu walijitokezaga kununua baadhi ya ID huko ughaibuni kwenye platform moja ya kijamii inayofanana na hii sasa huwezi jua wanaweza wakatua na huku ukashindwa pakuanzia
Mimi yangu 2M tu wala sitataka nyingi
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]Kuna id haziwezi uzika yani Kama ya kwangu sio kuuza bali nakupa halafu ili uikubali nakupa na tuhela..[emoji1787] Yani Kama ni thamani yake Basi ni sawa na negative 10000. It means hata hata nikikupa I'd bado unanidai na tuhela twa kubembelezea ili uikubali..[emoji28]