Id Yako ya JF Utaiuza Shilingi Ngapi?

Id Yako ya JF Utaiuza Shilingi Ngapi?

[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]

Umeanza hivi vi-emoji.

Yaani mimi sijui ni ushamba au nini yaani sivipendagi!

Bora hata viandikwe na mwanamke, mwanaume akiandika na akaweka hivi vijitu huwa namwonaje sijui.
 
Yaani mimi niliingia siku moja siku hiyo hiyo nikatoka...

Wengi kule wanastress na wapo single wapiga punyeto wakubwa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji101] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Umeanza hivi vi-emoji.

Yaani mimi sijui ni ushamba au nini yaani sivipendagi!

Bora hata viandikwe na mwanamke, mwanaume akiandika na akaweka hivi vijitu huwa namwonaje sijui.
Huyo ni mwanamke mkuu...
 
Nina Msichana wangu nampenda sana ila kanizidi mwaka mmoja Mnanishaurije wana Jg
 
Kuna tatizo kama nkimuoa coz tnapendana ila wazaz ndo Inakua ngum kukubali na tnataman sku tuje kuish mama na baba,
 
Nina Msichana wangu nampenda sana ila kanizidi mwaka mmoja Mnanishaurije wana Jg
Mkuu nikufundishe namna ya kuanzisha uzi ili watu wakupe michango yao ya mawazo?
 
ndio mkuu nipe tu
Kama unatumia app ya JF bonyeza hiki kialama
IMG_20170414_185402_853.jpg


Nenda kwenye new topic
IMG_20170414_185421_477.jpg


Kisha itakuletea sehemu ya kuandika ili uoneshe jukwaa gani unataka mada yako iingie. Kwa swala lako hii inaenda jukwaa la mahusiano.
Screenshot_2017-04-14-18-52-05.png


Baada ya hapo utaandika kichwa cha habari na kuandika mada yako kama nilivyoonesha.
Screenshot_2017-04-14-18-53-20.png


Ila unaweza ukaandika jukwaa lolote na mods wataipeleka jukwaa husika (angalia usipigwe ban).

Ila kwa ushauri wangu, mwaka mmoja siyo mkubwa sana waelewesheni wazazi hawawezi kuwakatalia.
 
Back
Top Bottom