Id Yako ya JF Utaiuza Shilingi Ngapi?

Daby yake anauza 1000, hiyo utachati na wakina Shunie, espy, husna muba atakua mkeo. Ila utakua na ugomvi na jamaa fulani hivi.

Fanya kumcheki
..ntaishia kutekwa, hao wote watekaji!
Naogopa kuwa romanized!..
 
Pesa cash hii hapa nimeipendea uzi wako wa jokes ila majukwaa mengine inapumba tu... buku inakutoshaaa [emoji16][emoji16]
Tuma dollar hizo ntakumegea nusu yake...
Sikupi id nzima!
 
..ntaishia kutekwa, hao wote watekaji!
Naogopa kuwa romanized!..
Hahahaha sasa unaichomolea id kali kama ile unataka ipi nyingine mkuu? Ya mshana jr au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…