T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,674
- 29,643
kujifanya mtakatifuWala sikushauri
[emoji23][emoji23][emoji23]Mmh kwangu nadhan ningeitoa bure maana nina kaugonjwa ka kutupia picha pasipohusika hizo kumi kumi ningekatwa nyingi
Heheheemzigo kwa baby wako
habari ndio hiyo huwezi toka kama Daby sio kulia lia huku unatakaHalafu Shunie anasema zikishakupanda tafuta pa kuzitoa usisumbue watu wa hilo jukwaa
HeheheeWala sikushauri
Sina neno mdogo wanguwe guna ukimaliza utaniambia
Nahitaji ufafanuzi hapo... Daby ana ila liahabari ndio hiyo huwezi toka kama Daby sio kulia lia huku unataka
sasa sisi utusumbue tunahusika vipi na genye zako tunakutana kwenye comments kama huwezi vumilia usiingieSasa genye zimenipandia jf mzigo nikamsumbue mtu hata hayumo jf? Oneaneni huruma jamani
Sio kwa kuchunguliana vikojoleo jamanikujifanya mtakatifu
ndio mnavyowaza hakupo hivyo kama mnavyovifkilia msichafue jukwaaHata wakiombana utajulia wapi, si wataendamo pm
hapana itarudi kwa MunguIla sasa siyo vizuri kukaa na bk tu unazunguka nayo, kile ni kilema.
HahahaHalafu Shunie anasema zikishakupanda tafuta pa kuzitoa usisumbue watu wa hilo jukwaa
jukwaa halipo kwa ajili ya mambo hayo jamaan nyege zako utajua mwenyewe pa kupelekaHilo jukwaa hamna ushirikiano kabisa, kweli mwanajukwaa mwenzio ana genye hata kumpa msaada? Wanajf hatupo hivyo...
Nashauri liwe linafunguliwa usiku tuuhabari ndio hiyo huwezi toka kama Daby sio kulia lia huku unataka
Ni ulemavuIla sasa siyo vizuri kukaa na bk tu unazunguka nayo, kile ni kilema.