Id Yako ya JF Utaiuza Shilingi Ngapi?

Hii yangu naweza kugawa bure kwa masharti ya kuhakikisha JF inachangamshwa.
 
sasa jaman tuloathirika na nyeto mnatusaidieje
Anzisha uzi eleza umeathirika kwa kiwango gani, yaani mfano hauwezi kukaa bila kupiga kwa muda gani, kuna madhara yoyote ya kimwili umeyaona na vitu kama hivyo.

Tutakuja kukupa majibu
 
0787128158 jina daby KIBORI NANGAAYA. [emoji16][emoji16]
Babuu hayo majina ya mwisho vepe teh teh teh teh[emoji125] [emoji125] jina kaaaaaa.......sijui nimaliziee ila ngoja niache tu utanichapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…