ID za JF bana. . . .

ID za JF bana. . . .

Hv huyu amada umelewa kapotelea wap??
 
utabaki na hizo screen sava wenzio wanajilia...................utakuta mafuta hamna.
LOL cacico popote pale ulipo hebu kuja pande hii uniambie hilo tunda unawagaia kina nani zaidi yangu? Kuna mtu nataka nimuoteshe kitambi matakoni.
 
Last edited by a moderator:
utabaki na hizo screen sava wenzio wanajilia...................utakuta mafuta hamna.
LOL cacico popote pale ulipo hebu kuja pande hii uniambie hilo tunda unawagaia kina nani zaidi yangu? Kuna mtu nataka nimuoteshe kitambi matakoni.
 
Last edited by a moderator:
LOL cacico popote pale ulipo hebu kuja pande hii uniambie hilo tunda unawagaia kina nani zaidi yangu? Kuna mtu nataka nimuoteshe kitambi matakoni.
mi staki upekuzi nilishakwambia! hakuna mtu zaidi yako papito wangu! hao wanaokwambia maneno hayo ni kutufitini tu! nakupendaje thatha?? si unajua bby wangu kwamba mi na we mpaka kiama eee?? mwahhh :A S kiss:
 
Hivi bestee..... mie nna haja ya kukuambia nakupenda? Weye si wajua kuwa nakupenda ile hamna mfano? Atakayekupokonya moyoni mwangu na apate kitambi mgongoni.....
ila ujue yule mkeo kuleeeeeeee bondeni hapendi unavyonipenda ujue?? anataka kuburst! lol! bebi wangu si unipe mimba tu apatwe na hasira vizuri! lol, mbona hujajibu PM thatha?
 
ila ujue yule mkeo kuleeeeeeee bondeni hapendi unavyonipenda ujue?? anataka kuburst! lol! bebi wangu si unipe mimba tu apatwe na hasira vizuri! lol, mbona hujajibu PM thatha?

Doh, kumbe hiyo ki2 huombwa? Ngoja nimwombe Mzee Kaizer na mpenziwe gfsonwin waniruhusu nifanye hilo tendo la imani
 
Last edited by a moderator:
ila ujue yule mkeo kuleeeeeeee bondeni hapendi unavyonipenda ujue?? anataka kuburst! lol! bebi wangu si unipe mimba tu apatwe na hasira vizuri! lol, mbona hujajibu PM thatha?
Nna mashaka Mods wanasoma PM zetu, wanaweza kusoma msg kwenye simu itakuwa PM? Stuka wife material...THINK!!
 
hapa tuna diskasheni gani cacico na gfsonwin thidi ya hommie Asprin?

baada ya kusema hayo namba mnambie leo ni jumangapi, Yummy popote ulipo come zis way mamito
 
Last edited by a moderator:
nna mashaka mods wanasoma pm zetu, wanaweza kusoma msg kwenye simu itakuwa pm? Stuka wife material...think!!
khaaaaaaaa ! Thanks kwa kunistua! Nimestuka, cant wait for other mfyonzo! This tyme nauendea course kabisaaaaaaaa, lol!
 
Back
Top Bottom