Idadi kubwa ya members wa JF inaonesha wanapishana sana na moja kati ya hizi KKK.3

Idadi kubwa ya members wa JF inaonesha wanapishana sana na moja kati ya hizi KKK.3

denoo49

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
6,113
Reaction score
6,950
Hili nimepata kuendelea kuliona kupitia ndani ya majukwaa (forums) ya humu JF, na linakua kwa kasi ya ajabu kadiri siku, miezi na miaka inavyojongea.

Kuna baadhi ya watu humu utakuta kama anajua Kusoma, basi hajui Kuandika, au kama anajua Kuandika basi hajui Kuhesabu au Kusoma.

Mwanzoni kipindi cha nyuma, nilidhani pengine ni mtu tu, anaweza kosea bahati mbaya katika uandishi (typing error) ila kumbe sivyo.
Mfn. Utakuta panapohitajika "r" mtu anaandika "l" au neno "Kuonesha" utakuta mtu tena na elimu yake ya kutosha tokea shule ya msingi mpaka anapata kazi anaandika au kutamka "Kuonyesha".
Au unaweza kuta panapohitajika herufi kubwa mtua anaandika ndogo.
Na hili ni kwa upande wa Lugha yetu ya Taifa (Kiswahili), upande wa Lugha nyingine nahofu kuliongelea maana hata mimi si mjuzi nazo.

Kwa anayebisha au wale wepesi wakuulizia neno "SOURCE", anza na hoja za wachangiaji humu humu....!

ANGALIZO; Tunapojivunia yakuwa tu "Great Thinker" hatunabudia pia kuwa makini katika uandishi, usomaji, na uhesabuji hasa juu ya Lugha yetu ya Taifa (Kiswahili).
 
Hili nimepata kuendelea kuliona kupitia ndani ya majukwaa (forums) ya humu JF, na linakua kwa kasi ya ajabu kadiri siku, miezi na miaka inavyojongea.

Kuna baadhi ya watu humu utakuta kama anajua Kusoma, basi hajui Kuandika, au kama anajua Kuandika basi hajui Kuhesabu au Kusoma.

Mwanzoni kipindi cha nyuma, nilidhani pengine ni mtu tu, anaweza kosea bahati mbaya katika uandishi (typing error) ila kumbe sivyo.
Mfn. Utakuta panapohitajika "r" mtu anaandika "l" au neno "Kuonesha" utakuta mtu tena na elimu yake ya kutosha tokea shule ya msingi mpaka anapata kazi anaandika au kutamka "Kuonyesha".
Au unaweza kuta panapohitajika herufi kubwa mtua anaandika ndogo.
Na hili ni kwa upande wa Lugha yetu ya Taifa (Kiswahili), upande wa Lugha nyingine nahofu kuliongelea maana hata mimi si mjuzi nazo.

Kwa anayebisha au wale wepesi wakuulizia neno "SOURCE", anza na hoja za wachangiaji humu humu....!

ANGALIZO; Tunapojivunia yakuwa tu "Great Thinker" hatunabudia pia kuwa makini katika uandishi, usomaji, na uhesabuji hasa juu ya Lugha yetu ya Taifa (Kiswahili).

Huna tofauti na hao unaowasema.
 
Wewe upo kwenye kundi gani? .. Unajua kuna jukwaa la lugha? Peleka thread yako kule . Next time we will serukamba you
 
Kwa kweli kuna tatizo la lugha ya Kiswahili humu ndani.
 
Hili nimepata kuendelea kuliona kupitia ndani ya majukwaa (forums) ya humu JF, na linakua kwa kasi ya ajabu kadiri siku, miezi na miaka inavyojongea.

Kuna baadhi ya watu humu utakuta kama anajua Kusoma, basi hajui Kuandika, au kama anajua Kuandika basi hajui Kuhesabu au Kusoma.

Mwanzoni kipindi cha nyuma, nilidhani pengine ni mtu tu, anaweza kosea bahati mbaya katika uandishi (typing error) ila kumbe sivyo.
Mfn. Utakuta panapohitajika "r" mtu anaandika "l" au neno "Kuonesha" utakuta mtu tena na elimu yake ya kutosha tokea shule ya msingi mpaka anapata kazi anaandika au kutamka "Kuonyesha".
Au unaweza kuta panapohitajika herufi kubwa mtua anaandika ndogo.
Na hili ni kwa upande wa Lugha yetu ya Taifa (Kiswahili), upande wa Lugha nyingine nahofu kuliongelea maana hata mimi si mjuzi nazo.

Kwa anayebisha au wale wepesi wakuulizia neno "SOURCE", anza na hoja za wachangiaji humu humu....!

ANGALIZO; Tunapojivunia yakuwa tu "Great Thinker" hatunabudia pia kuwa makini katika uandishi, usomaji, na uhesabuji hasa juu ya Lugha yetu ya Taifa (Kiswahili).
Sidhani kama una uhakika kile ulichoandika hapa, hasa hasa hapo kwenye rangi
 
Huna tofauti na hao unaowasema.

Copy denoo49

Kiswahili hakielewekileweki vyema ........ imekaa kisaniisanii tu, ndio maana mtu akikuita we mswahili ujue anamaanisha wewe mbabaishaji tu .... kiswahili imekaa kianalojia zaidi!

Jaribu nenda nairobi halafu asakari wakukamate ....... halafu jaribu kuongea kiswahili cha hapa tz ..... uone jinsi watakavyokumaindi ...... sababu imekaa kibabaishaji sana, ila napenda kiswahili cha wakenya japo mm mtz( najua hapa mtanimaindi ila huo ndio ukweli wangu)!!!!!


KISWAHILI FULL UBABAISHAJI NA KONAKONA KIBAO ........ KITHUNGU FULL STRAIGHT NA MZUKA WA KUMWAGA!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Hatunabudia ni new vocabulary sio? Umepata kifungua kinywa ndugu au umekurupuka tu?


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Mkuu, upo sasa kabisa kama GREAT THINKER. Lakini sioni tofauti na ulichokisema kwani jina na 'location' yako kama ni sahihi na ulichoandika!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mkuu, upo sasa kabisa kama GREAT THINKER. Lakini sioni tofauti na ulichokisema kwani jina na 'location' yako kama ni sahihi na ulichoandika!!!!!!!!!!!!!!!!!!


'Upo sasa' sijakupata vyema!
 
Wewe upo kwenye kundi gani? .. Unajua kuna jukwaa la lugha? Peleka thread yako kule . Next time we will serukamba you

shukrani ila natumai ujumbe umefika vilivyo.
 
Kwangu cha msingi nielewe maana hatupo darasani umu kuanza kagua KISWAHILI SANIFU or if your are grammatically correct or not
 
Kuna baadhi ya watu humu utakuta kama anajua Kusoma, basi hajui
Kuandika, au kama anajua Kuandika basi hajui Kuhesabu au Kusoma.

Hivi wewe mtoa mada,ulifikiria kweli?Inawezekana vipi mtu ajue kuandika halafu asiweze kusoma?..
 
ujue hapa unaongelea juu ya idadi ya members 125,174 ambapo ukiangalia idadi ya 'guests' inakuwaga kubwa zaidi ya members.
katika kuleta mabadiliko hata mabadiliko ya elimu yanatakiwa kwa maana nako katika hii miaka 50 ya kuwa taifa tumevurunda na jf inategemewa kuwa tool ya kuchochea haya mabadiliko. Ukimsoma vizuri
Anna Tibaijuka kaeleza kwa kiasi fulani vizuri hili suala.
Maana yake ni kuwa nakala za magazeti ya Tanzania huenda wasomaji wake wasifikie idadi ya wanaoitegemia jf na kadiri teknolojia ya iPhone inavyozidi kusambaa jf itakua zaidi na kuwasidia kujifunza zaidi pia
 
Sidhani kama una uhakika kile ulichoandika hapa, hasa hasa hapo kwenye rangi

nina uhakika mkuu, kupitia humu humu jf, na majukwaa yake na jinsi watu wanavyotumia aina ya uandishi wao wakati wa kujibu hoja yani huwa ni full changanyikeni ili mradi ujumbe ufike.
 
Mfn. Utakuta ....mtu anaandika neno "Kuonesha" utakuta mtu tena na elimu yake ya kutosha tokea shule ya msingi mpaka anapata kazi anaandika au kutamka "Kuonyesha".

Nitakuwa nimekosea kama nikisema na wewe ni wale wale?

Lipi neno sahihi kati ya "kuonesha" na "kuonyesha"?
 
Hili nimepata kuendelea kuliona kupitia ndani ya majukwaa (forums) ya humu JF, na linakua kwa kasi ya ajabu kadiri siku, miezi na miaka inavyojongea.

Kuna baadhi ya watu humu utakuta kama anajua Kusoma, basi hajui Kuandika, au kama anajua Kuandika basi hajui Kuhesabu au Kusoma.

Mwanzoni kipindi cha nyuma, nilidhani pengine ni mtu tu, anaweza kosea bahati mbaya katika uandishi (typing error) ila kumbe sivyo.
Mfn. Utakuta panapohitajika "r" mtu anaandika "l" au neno "Kuonesha" utakuta mtu tena na elimu yake ya kutosha tokea shule ya msingi mpaka anapata kazi anaandika au kutamka "Kuonyesha".
Au unaweza kuta panapohitajika herufi kubwa mtua anaandika ndogo.
Na hili ni kwa upande wa Lugha yetu ya Taifa (Kiswahili), upande wa Lugha nyingine nahofu kuliongelea maana hata mimi si mjuzi nazo.

Kwa anayebisha au wale wepesi wakuulizia neno "SOURCE", anza na hoja za wachangiaji humu humu....!

ANGALIZO; Tunapojivunia yakuwa tu "Great Thinker" hatunabudia pia kuwa makini katika uandishi, usomaji, na uhesabuji hasa juu ya Lugha yetu ya Taifa (Kiswahili).
Kwanza naomba nishangae ni kwa vipi mtu anaweza kujua/kufahamu kuandika halafu asiweze kusoma.
Kimsingi unanolisema linaweza kuwa kweli lakini ni ukweli unaohitaji kuthibitishwa. Mathalani, unaposea idadi kubwa ya member wa JF, unapaswa kulithibitisha hilo kutokana na namba ambazo ni lazima uwe umezipata kwa kufanya utafiti, hata kidogo tu. Natarajia kuwa uwingi wa hao JF member utatokana na idadi kamili ya wana JF, vinginevyo bado hiyo haijakaa vema.
Lakini kwenye masuala ya kuchanganya 'r' na 'l' si lazima sana yatokane na kujua/kutojua kusoma/kuandika. Wengi wamekwenda shule vya kutosha lakini bado wanaathiriwa na lahaja zao za kienyeji na ndio maana utakuta watu wanachanga hivyo, si kwa kutojua kusoma au kuandika.
Na meisho, kwa kukujiku kiujumla, kikubwa wanachokitaka watu hapa ni kuelewa ujumbe, na hiyo ni moja ya dhima ya mawasiliano. Unalolisema linaweza kuwa na mashiko iwapo kakosa, ya kisarufi au vinginevyo, yataharibu maana iliyokusudiwa.
Lakini kuna jambo ambalo sijalielewa vema kutoka kwako; hivi unakusudia nini hasa katika bandiko hili?
 
Back
Top Bottom