denoo49
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 6,113
- 6,950
Hili nimepata kuendelea kuliona kupitia ndani ya majukwaa (forums) ya humu JF, na linakua kwa kasi ya ajabu kadiri siku, miezi na miaka inavyojongea.
Kuna baadhi ya watu humu utakuta kama anajua Kusoma, basi hajui Kuandika, au kama anajua Kuandika basi hajui Kuhesabu au Kusoma.
Mwanzoni kipindi cha nyuma, nilidhani pengine ni mtu tu, anaweza kosea bahati mbaya katika uandishi (typing error) ila kumbe sivyo.
Mfn. Utakuta panapohitajika "r" mtu anaandika "l" au neno "Kuonesha" utakuta mtu tena na elimu yake ya kutosha tokea shule ya msingi mpaka anapata kazi anaandika au kutamka "Kuonyesha".
Au unaweza kuta panapohitajika herufi kubwa mtua anaandika ndogo.
Na hili ni kwa upande wa Lugha yetu ya Taifa (Kiswahili), upande wa Lugha nyingine nahofu kuliongelea maana hata mimi si mjuzi nazo.
Kwa anayebisha au wale wepesi wakuulizia neno "SOURCE", anza na hoja za wachangiaji humu humu....!
ANGALIZO; Tunapojivunia yakuwa tu "Great Thinker" hatunabudia pia kuwa makini katika uandishi, usomaji, na uhesabuji hasa juu ya Lugha yetu ya Taifa (Kiswahili).
Kuna baadhi ya watu humu utakuta kama anajua Kusoma, basi hajui Kuandika, au kama anajua Kuandika basi hajui Kuhesabu au Kusoma.
Mwanzoni kipindi cha nyuma, nilidhani pengine ni mtu tu, anaweza kosea bahati mbaya katika uandishi (typing error) ila kumbe sivyo.
Mfn. Utakuta panapohitajika "r" mtu anaandika "l" au neno "Kuonesha" utakuta mtu tena na elimu yake ya kutosha tokea shule ya msingi mpaka anapata kazi anaandika au kutamka "Kuonyesha".
Au unaweza kuta panapohitajika herufi kubwa mtua anaandika ndogo.
Na hili ni kwa upande wa Lugha yetu ya Taifa (Kiswahili), upande wa Lugha nyingine nahofu kuliongelea maana hata mimi si mjuzi nazo.
Kwa anayebisha au wale wepesi wakuulizia neno "SOURCE", anza na hoja za wachangiaji humu humu....!
ANGALIZO; Tunapojivunia yakuwa tu "Great Thinker" hatunabudia pia kuwa makini katika uandishi, usomaji, na uhesabuji hasa juu ya Lugha yetu ya Taifa (Kiswahili).