Idadi ya miradi mikubwa inayotekelezwa na Rais Samia mkoani Mbeya

Mwambie uweso Dar hakuna maji . Acheni upumbavu
Mpumbavu ni wewe ambae hauna maji.

Mada ni Mbeya ,siwezi jadili Dar Kwa wapuuzi wasiotaka kulipa Kodi wakati Huduma wanataka,mkome kabisa na Hilo joto mtajua hamjui, pumbavu zenu.
 
Mpumbavu ni wewe ambae hauna maji.

Mada ni Mbeya ,siwezi jadili Dar Kwa wapuuzi wasiotaka kulipa Kodi wakati Huduma wanataka,mkome kabisa na Hilo joto mtajua hamjui, pumbavu zenu.
Wewe ni mpumbavu usiyejua ukisemacho zaidi ya kuwa chawa. Tofautisha kutolipa bill na maji kutotoka kabisa .
Umekalia tu kukata mauno na kunengua kama hadija kopa akiwa pale kizota jwenye vikao vya maamuzi ya juu ya ccm.
Huku ukisifu na kuabudu kama kasuku. Unaitika kila mwimbo
 
Nimesema hivi na narudia hapa Huwa nikiona watu wa Dar mnakenua meno na kuvuja kamasi kwenye macho Kwa kukosa maji Huwa nafurahi sana.

Nyie wapumbavu mlikataa tozo ya miamala Ili Serikali ipate pesa za maji mnajifanya wajuaji,nendeni Kwa Machadema wawape maji mapunguani nyie.
 
Wewe ni mpumbavu chadema wanaingiaje hapo. Mbezi beach hakuna maji wanaathirika chadema na ccm wote kwa pamoja. Kwa ujinga wako unaingiza mambo ya siasa kama hayawani.
Miaka ya nyuma maji yaliyoka na hapakuwa na tozo. Unawezaje kuzungumzia mahusiano ya maji na tozo kama siyo mjinga?
Kwani kodi si inalipwa?
Ati nawe ni mpiga zumari/ mbinje wa samia? Kazi ipo
 
Unasumbuliwa na ujinga wa KIHALAIKI
Unajingishwa nawe unakubali
 
Wewe fala nenda Kwa Machadema waliposema tozo ya miamala ni.kubws sana ukachote maji bwege wewe.

Na mkome na Hilo joto ogeeni na Kupikia majasho yenu na mikojo
 
Hamia Ufipa ukachote maji πŸ˜‚πŸ˜‚
Sweeping statements. Ni dalili ya kushindwa kujibu hoja. Unafikiri kila anayeona mambo kwa jicho tofauti anapaswa kuwa mwanasiasa. Ujinga wa kihalaiki unakusumbua mkuu.
Unaambiwa HAMNA MAJI. Wewe mara
Tozo
Ufipa
Bills
Nk
Sasa unasimamiaa hoja gani?
Ati nawe ni mpiga mbinja wa SSH nchi hii ina shida kwelikweli
 
We fala usinichafulie Uzi,kama una mapovu anzisha Uzi wa Dar au Hamia Ufipa ukachote maji πŸ˜‚πŸ˜‚
Unalipwa shilingi ngapi kwa kuandika ujinga usiotaka hata usipingwe? Hoja hujibiwa kwa hoja siyo matusi
CHAWA MKUBWA KABISA WEWE .
Ati nawe ni mpiga mbinja wa samia. Maajabu hayatakaa yaishe
 
KIGAILA INABIDI ASOME HAPA AONE MIRADI YA MAMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…