Idadi ya miradi mikubwa inayotekelezwa na Rais Samia mkoani Mbeya

Unalipwa shilingi ngapi kwa kuandika ujinga usiotaka hata usipingwe? Hoja hujibiwa kwa hoja siyo matusi
CHAWA MKUBWA KABISA WEWE .
Ati nawe ni mpiga mbinja wa samia. Maajabu hayatakaa yaishe
MAAJABU YAPO CHADEMA HAWAJIJUI HATA WANAFANYA NINI MBOWE KIVYAKE LISSU KIVYAKE KIGAILA ANAMPINGA LISU YAANI MAAJABU HAYAISHI HUKO KAMA COMED
 
Wana Mbeya tunashukuru,sisi wakazi wa Nzovwe tunatamani by pass hiyo ya KM 50 ikamilike haraka maana maroli yanatumaliza huu mteremko wa simike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…