Idadi ya wabunge tarajiwa ACT-Wazalendo inawabeba dhidi ya CHADEMA Bungeni, kama Zitto akishinda Ubunge kuwa KUB

Namuona Tundu Lissu akiweka nguvu angalau kupata wabunge na hatimaye kura ambazo zitasaidia kupata ruzuku na fursa ya u-KUB lakini hali ni tete sana kulingana na uhalisia uliopo
chadema hawapati hata wabunge watano
 
Upinzani hautazidi wabunge wa kuchaguliwa 10! Wajiandae kwa maumivu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…