Idadi ya wafanyakazi wengi wanabet kulikoni???

Idadi ya wafanyakazi wengi wanabet kulikoni???

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Mwanzon nilihisi n shida ya ajira ndio inafanya wanaongezeka wakamaria

Yaan hivi sasa hadi watu wa maofisini wanabet vibaya sana

Watu wakubwa unawakuta kwemye ma casino

Nini kinaendelea wapendwa....

Mikeka.com
Kazindeleeeeee
 
Yaaani nilikuwa ofisi moja leoooo

Naingia tu nambiwa na jamaaa mpwaaa bmdah afadhali umekuja tupe codes za leooo


Nkawambia mkila amnipi hela mpambane na healing zenu

Mikeka ikichanika mnaliaaaaa eeeh

Tutaelewana tu

Yaan ile.mwezi wa sita ligi zililisimama walilia mbaya hatareeeeee nanusuuuu aug kilammmoja anakwambiaaa dah afadhali ligi zimeanza

Tutaelewana tu
 
Mwanzon nilihisi n shida ya ajira ndio inafanya wanaongezeka wakamaria

Yaan hivi sasa hadi watu wa maofisini wanabet vibaya sana

Watu wakubwa unawakuta kwemye ma casino

Nini kinaendelea wapendwa....

Mikeka.com
Kazindeleeeeee
Matangazo ya walioshinda mamilioni kwa book!
 
Back
Top Bottom