Idadi ya Waislamu duniani yafikia Bilioni mbili mwaka 2023

Idadi ya Waislamu duniani yafikia Bilioni mbili mwaka 2023

Mufti kuku The Infinity

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2019
Posts
6,053
Reaction score
10,032
Screenshot_20230509-091029.jpg

Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu (UNFPA) na taasisi nyingine za utafiti, idadi ya Waislamu duniani inakadiriwa kufikia zaidi ya bilioni 2.

Kwa sababu ya kiwango cha juu cha uzazi na kasi ya kuenea kwa dini hiyo kwenye maeneo mengi duniani, inatarajiwa kuwa idadi ya Waislamu itaongezeka hadi kufikia bilioni 3.3 ifikapo mwaka 2060.

Sababu nyingine ya ukuaji wa Uislamu ni kuongezeka kwa idadi ya Waislamu wanaoongoka kutoka dini nyingine, pamoja na idadi kubwa ya Waislamu wanaozaliwa.

Aidha, kuenea kwa kiwango cha juu cha teknolojia na mawasiliano ya kijamii yamekuwa na athari kubwa katika kuenea kwa dini hiyo, kwani inakuwa rahisi kwa watu kufikia na kusambaza ujumbe wa Kiislamu kote duniani.

Screenshot_20230509-091108.jpg


Mwenyezimungu tunakuomba uwape baraka wote wanao fanikisha kuenea kwa hiu dini yako tukufu, vilevile waongoze wote ambao hawapo kwenye uislamu waweze kuingia kwenye dini hii ya haki. Aamin 🙏🏻🤲🤲
 
View attachment 2615320
Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu (UNFPA) na taasisi nyingine za utafiti, idadi ya Waislamu duniani inakadiriwa kufikia zaidi ya bilioni 2.

Kwa sababu ya kiwango cha juu cha uzazi na kasi ya kuenea kwa dini hiyo kwenye maeneo mengi duniani, inatarajiwa kuwa idadi ya Waislamu itaongezeka hadi kufikia bilioni 3.3 ifikapo mwaka 2060.

Sababu nyingine ya ukuaji wa Uislamu ni kuongezeka kwa idadi ya Waislamu wanaoongoka kutoka dini nyingine, pamoja na idadi kubwa ya Waislamu wanaozaliwa.

Aidha, kuenea kwa kiwango cha juu cha teknolojia na mawasiliano ya kijamii yamekuwa na athari kubwa katika kuenea kwa dini hiyo, kwani inakuwa rahisi kwa watu kufikia na kusambaza ujumbe wa Kiislamu kote duniani.

View attachment 2615321

Mwenyezimungu tunakuomba uwape baraka wote wanao fanikisha kuenea kwa hiu dini yako tukufu, vilevile waongoze wote ambao hawapo kwenye uislamu waweze kuingia kwenye dini hii ya haki. Aamin [emoji1317][emoji2969][emoji2969]
Wanasema kufika 2050 uislamu ndo dini itakao kua na wa fuasi wengi bara la Ulaya okiongozwa na Uingereza ufaransa na ujerumini, tunaomba Mungu atufikheshe miako hiyo tushuhudia ushidi wa Uislamu licha cha kua na mandui wasio kua na sabb za chuki yao dhidi ya uislamu.
 
HONGERENI SANA LAKINI ANAYESEMA ATAWAZAA HAPA DUNIANI NA KUWAPOTEZA WOTE NI NANI?

SHETANI AMEFANYA kazi KUBWA sana.

Quran 15:39.
Akasema :mola wangu mlezi! Ilivyokuwa imenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa Duniani na nitawapoteza wote.


HUYU ANAYESEMA ATATUZAENI WAISLAMU NA KUTUPOTEZA WOTE NI NANI????

JE SHETANI ATAWAPOTEZA WAISLAMU WOTE???

MSISITIZE MKUBWA NI NENO " WOTE"
 
Wanasema kufika 2050 uislamu ndo dini itakao kua na wa fuasi wengi bara la Ulaya okiongozwa na Uingereza ufaransa na ujerumini, tunaomba Mungu atufikheshe miako hiyo tushuhudia ushidi wa Uislamu licha cha kua na mandui wasio kua na sabb za chuki yao dhidi ya uislamu.
Aamin
 
Wanasema kufika 2050 uislamu ndo dini itakao kua na wa fuasi wengi bara la Ulaya okiongozwa na Uingereza ufaransa na ujerumini, tunaomba Mungu atufikheshe miako hiyo tushuhudia ushidi wa Uislamu licha cha kua na mandui wasio kua na sabb za chuki yao dhidi ya uislamu.
Quality vs Quantity uzuri Mungu ni mmoja nyingine mbwembwe
 
HONGERENI SANA LAKINI ANAYESEMA ATAWAZAA HAPA DUNIANI NA KUWAPOTEZA WOTE NI NANI?

SHETANI AMEFANYA kazi KUBWA sana.

Quran 15:39.
Akasema :mola wangu mlezi! Ilivyokuwa imenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa Duniani na nitawapoteza wote.


HUYU ANAYESEMA ATATUZAENI WAISLAMU NA KUTUPOTEZA WOTE NI NANI????

JE SHETANI ATAWAPOTEZA WAISLAMU WOTE???

MSISITIZE MKUBWA NI NENO " WOTE"
15:39 quran

(Iblis) said: "O my Lord! because Thou hast put me in the wrong, I will make (wrong) fair-seeming to them on the earth, and I will put them all in the wrong,-


Inabidi uwaze na kuwazua ukiachilia mbali ahadi hio ya iblis, lakini bado hajafinikiwa, kwani idadi ya waislam (miongoni mwa watu) inazidi kupaa

Think
 
Back
Top Bottom