Idadi ya wanajeshi wa Ukraine wanaotoroka vitani inaongezeka baada ya matamshi ya Ursula Von der Leyen

MBONA UNASHUPAZA HIVYO, EU WAMESHATOA YA KWAO SUBIRI RUSSIA NAO WATOE TA KWAO...Wasiwasemee mzee!...

Unaporushia makombora unajuaje askari watakaokufa ????
Russia walisema 6000 wamekufa
Ukraine Jana wamesema 13,000 wamekufa

Kwahiyo chagua pa kulalia kama Russia, Ukraine,Pentagon au Bibi yako Ursula.
 
Hata Zele anataka kufanya Mobilization..

Russia alifanya mobilization wakambeza,

Inshort Putin alitaka kuepuka Millitary fatigue ambayo kama NATO wangeanziasha vita ghafla tayar alishakuwa na 5% losses. Hivyo kutokana na kubalance hoyo loss na pia uhitaj wa wao kuwa vitani kwa zaid ya mwaka akaamua kuwahi kuongeza idadi ya askari ili kuoata namba itakayotumika vita ya ukraine kwa miaka hata mitatu bila kuathiri initial Millitary count.

Tulibeza sana lakin leo Mobilized ndo wanahold poaitions.

wamefyeka 100k kwa waukraine na yeye namba yake imeongezeka.

sijui why tulimbeza
 

Vita ni kama kesi mahakamani, ushitaki au ushitakiwe usumbufu na hasara ni ile ile.
 
Ni mambo mawili tu!

Akili na elimu. Tuna akili ndogo ya kufahamu ya kinachoendela na tuna elimu ya kuchakatua na kujua muktadha utakuwa ni nini!
 
Always mnaona mlichopangiwa kuona,kusikia mlichopangiwa kusikia.

Haijarishi ni nchi gani, mifumo dhabiti inayoendesha nchi,wala haijulikani kwa wananchi! Mabaraza ya mawaziri,bunge politically tu.

Ndimi "Katsa"
 
Ni kawaida, katika vita yoyote; wapo watakaokufa na watakaopona; hakuna jipya hapo.
 
Vilianzia Crimea vitaishia Crimea, kwa sasa Urusi ameishiwa wanajeshi mpaka anataka kufanya mobilization nyingine kufuata wanywa gongo mitaani.
Hii ni ahadi yako pia? Au ni ilele ya ZELEnSKY? kama ni yako okey, lets see how good you are ....,,[emoji16][emoji16] , ....

Lakini katika vita muache kuuwa watoto ....muache kutesa watu wakae bila umeme bila maji

Piganeni ninyi kwa ninyi wanajeshi kwa waanajeshi
 

Unaongea kuhusu nini, mtakua mumechanganyikiwa hadi bichwa, Mrusi ndiye hupiga bembea za watoto, amekimbia frontline.
 
Ukraine kwa moto[emoji3]
Your browser is not able to display this video.
 
Vilianzia Crimea vitaishia Crimea, kwa sasa Urusi ameishiwa wanajeshi mpaka anataka kufanya mobilization nyingine kufuata wanywa gongo mitaani.
Acha propaganda ww msikilize boss wenu na hata hiyo idadi namiini ni ndogo unambiwa kwa siku zaidi ya wanajesh1000+ na mamluki wa Ukraine wana kufa.hii vita urusi kashinda ni swala la muda najua ipo siku mbichi na mbivu.
Your browser is not able to display this video.
 
Acha propaganda ww msikilize boss wenu na hata hiyo idadi namiini ni ndogo unambiwa kwa siku zaidi ya wanajesh1000+ na mamluki wa Ukraine wana kufa.hii vita urusi kashinda ni swala la muda najua ipo siku mbichi na mbivu.View attachment 2436605

kwamba huyu sasa ndiye tumaini lenu, hehehe mko desperate sana, mumesahau Urusi ameishiwa mpaka anakusanaya wanywa gongo mitaani, lakini dah! Urusi hajawahi kuhangaishwa kiasi hiki.
 
Unaongea kuhusu nini, mtakua mumechanganyikiwa hadi bichwa, Mrusi ndiye hupiga bembea za watoto, amekimbia frontline.
Na upande wa Ukraine pia Donbass kule mna shell watoto .. wanakufa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…