Unapomuona Juma lokole na Aristote usifananishe na wanaume wa shokaUkienda saloon foleni ya wanaume wanaosuka corn row, extension, na weaving ni kubwa kuliko wanawake. Wengine hushinda hapo wakifanyiwa manicure na pedicure.
Wanaume hawa wamekua washauri wetu wazuri wa nywele za kutumia kwa style mbali mbali.
Tunashukuru mchango wa makaka hawa katika mzunguko wa pesa na kuzalisha ajira mitaani. Wasusi wa kiume pia wameongezeka sana. Hasa wale wanaotoka Jamhuri ya Congo lakini wanajitambukisha kuwa wanatoka Kigoma.
View attachment 2037258
Kawoli jamani hata kuchana nywele unakumbushwa?Sasa kwa tabia hizo unawaitaje ni wanaume? Wanaume hatuji huko utatukuta kazini au bar. Kidooogo na nyumbani huku wake zetu wakitukumbusha kuchana nyele na kupaka deodoranti kabla ya kutoka
Hahaaaa mara nyingi tuu. Ambacho sisahau ni kubeba waletiKawoli jamani hata kuchana nywele unakumbushwa?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahaaaa mara nyingi tuu. Ambacho sisahau ni kubeba waleti
Mkuu yani ulimtegemea mfanyakazi wako kwa 100%?? Pole sanaHakuna watu wasumbufu km hao wakongomani,ukifungua saluni ya kike inabidi ujipange kisaikolojia muda wowote unaweza kufunga saluni.Hawatulii sehemu moja
Akitokea mtu kamtajia dau zaidi anavunja mkataba fasta anahamia saluni nyingine na anakuachia saluni yako bila kuangalia umemtoa wapi Hadi kumfikisha hapo alipo
Niliwahi kumwokota mmoja jalalani nikamfungulia saluni Ila ndani ya miezi miwili nikafunga,alinikimbia anahamia Kwa jirani,nikaona udwanzi nikauza kila kitu
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mkuu Mimi sijui chochote kuhusu saluni,nilifanyabkosa kubwa sn ktk biasharaMkuu yani ulimtegemea mfanyakazi wako kwa 100%?? Pole sana
Ni vizuri kama umejua ulipokosea na ukakubali kujifunza mkuu.Mkuu Mimi sijui chochote kuhusu saluni,nilifanyabkosa kubwa sn ktk biashara
Ila kwenye maisha tunaanguka kisha tunainuka na kusonga mbele
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna watu wasumbufu km hao wakongomani,ukifungua saluni ya kike inabidi ujipange kisaikolojia muda wowote unaweza kufunga saluni.Hawatulii sehemu moja
Akitokea mtu kamtajia dau zaidi anavunja mkataba fasta anahamia saluni nyingine na anakuachia saluni yako bila kuangalia umemtoa wapi Hadi kumfikisha hapo alipo
Niliwahi kumwokota mmoja jalalani nikamfungulia saluni Ila ndani ya miezi miwili nikafunga,alinikimbia anahamia Kwa jirani,nikaona udwanzi nikauza kila kitu
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mi mmoja alinifanyia hivyo...nilimuhamisha nchi...na sidhani kama atarudi TZ.Hakuna watu wasumbufu km hao wakongomani,ukifungua saluni ya kike inabidi ujipange kisaikolojia muda wowote unaweza kufunga saluni.Hawatulii sehemu moja
Akitokea mtu kamtajia dau zaidi anavunja mkataba fasta anahamia saluni nyingine na anakuachia saluni yako bila kuangalia umemtoa wapi Hadi kumfikisha hapo alipo
Niliwahi kumwokota mmoja jalalani nikamfungulia saluni Ila ndani ya miezi miwili nikafunga,alinikimbia anahamia Kwa jirani,nikaona udwanzi nikauza kila kitu
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app