DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
Ni baada ya Chid benz kukiri hadharani kuwa anatumia madawa hayo(cocain & heroen) na kukubali kuwa alishawahi kuvuta na LANGA na MANGWAIR,
anasema chanzo ni ulevi wa pombe kali na bange uliokithiri kiasi kwamba alikuwa anaona hazimpi stim ikabidi apige na dona!kakiri kuwa amewaingiza baadhi ktk uteja.
Alisema hayo yote ktk kipindi cha radio akiwa anahojiwa na fetty
Source:XXL CLOUDS FM,
anasema chanzo ni ulevi wa pombe kali na bange uliokithiri kiasi kwamba alikuwa anaona hazimpi stim ikabidi apige na dona!kakiri kuwa amewaingiza baadhi ktk uteja.
Alisema hayo yote ktk kipindi cha radio akiwa anahojiwa na fetty
Source:XXL CLOUDS FM,