Moto mingi
Member
- Jun 13, 2023
- 7
- 6
Jamani Tanzania ina wataalamu wa kilimo wangapi na ni kwa mujibu wa bajeti ya mwaka gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaamka nazoUnauliza swali Kama unakimbia hebu tulia Kisha uliza swali ueleweke?
Kilimo ni sekta pana Sana kujibika kwa namna uliyouliza, ... inaanzia wataalamu wa kuzalisha mbolea, mbegu, dawa, kuhudumia mimea/wanyama.... kuchakata mavuno... kufikisha kwa mlaji.Jamani Tanzania ina wataalamu wa kilimo wangapi na ni kwa mujibu wa bajeti ya mwaka gani
Wataalamu wa kuhudumia mimieKilimo ni sekta pana Sana kujibika kwa namna uliyouliza, ... inaanzia wataalamu wa kuzalisha mbolea, mbegu, dawa, kuhudumia mimea/wanyama.... kuchakata mavuno... kufikisha kwa mlaji.
Kwa hiyo chain Kuna wataalam wana overlap sekta, mhasibu akiwa shamba ni mtaalam wa kilimo, mchumi.... dalali n.k. ugumu wa swali linaanzia hapo! trekta haliendeshwi mwaka mzima Ila litakapowashwa dereva anastahili kuitwa mtaalam wa kilimo!
Agriculture generalistsWataalamu wa kuhudumia mimie