Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Before ,namba kubwa Kuwahi fikiwa ni Watalii 1.5mln .
As we speak Watalii wako around 1.8 Kwa mwaka
watu duniani walikuwa wangapi na sasa wapo wangapi? je miundombinu ya sasa ikoje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Before ,namba kubwa Kuwahi fikiwa ni Watalii 1.5mln .
As we speak Watalii wako around 1.8 Kwa mwaka
Unaongea ujingawatu duniani walikuwa wangapi na sasa wapo wangapi? je miundombinu ya sasa ikoje?
MumeoUnaongea ujinga
Toka last weekIdadi ya wageni wanaoshuka kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), imeongezeka kutoka 300 hadi kufikia 2000. Ongezeko hilo limechangiwa na Filamu ya The Royal Tour iliyoigizwa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan.
Hayo yalisemwa jana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Uendeshaji wa Kiwanja cha Ndege cha KIA (KADCO).
Christina Mwakatobe, wakati wa hafla ya kuwapokea watalii 54 kutoka nchini Ugiriki waliofika kwa mara ya kwanza.
Alisema idadi ya watali imeendelea kuongezeka kwa kasi kutoka watalii 780.000 mwaka 2019 kabla ya UVIKO 19 hadi 927.000 mwaka wa fedha 2022/2023 ikiwa ni ongezeko la asilimia 42.
Alisema: "Sasa hivi uwanja huu tunashuhudia makundi makubwa va watalii, kwa siku moja hadi watali 2,000 jambo linaloonyesha matokeo chanya ya kutangaza vyema utalii nje kutokana na Filamu ya The Royal Tour"
Aidha alisema kuna mashirika va ndege yameongeza idadi ya miruko sambamba na uwapo wa ndege za watali binafsi wanaokuja kutembelea vivutio.
Wakala wa utalii ambaye ameleta watalii hao kutoka Ugiriki, Manasse Kidman, alisema watalii hao watakaa kwa muda wa siku tatu na wanatarajia kwenda maeneo mbalimbali ikiwamo Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
Mmoja wa watalii hao, Christos Gianakopoloulos, alisema matarajio yake ni kuona wanyama wakuu watano ambao aliambiwa Tanzania ni rahisi kuwaona kuliko nchi nyingine yeyote.
Kama ambavyo walikuwa wanakimbia baridi hivi sasa wanakimbia joto, kiwango cha joto kimepanda sana kiasi cha kuhatarisha afya. Huku kwetu kuna joto lakini halijaweza kusababisha misitu kuwaka moto kama ilivyo huko hivi sasa, nchi zote chini ya Ikweta hivi sasa zinapokea watalii wengi wanaokimbia joto hivyo kusema ni filamu ya Royal Tour hakuna ushahidi.Idadi ya wageni wanaoshuka kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), imeongezeka kutoka 300 hadi kufikia 2000. Ongezeko hilo limechangiwa na Filamu ya The Royal Tour iliyoigizwa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan.
Hayo yalisemwa jana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Uendeshaji wa Kiwanja cha Ndege cha KIA (KADCO).
Christina Mwakatobe, wakati wa hafla ya kuwapokea watalii 54 kutoka nchini Ugiriki waliofika kwa mara ya kwanza.
Alisema idadi ya watali imeendelea kuongezeka kwa kasi kutoka watalii 780.000 mwaka 2019 kabla ya UVIKO 19 hadi 927.000 mwaka wa fedha 2022/2023 ikiwa ni ongezeko la asilimia 42.
Alisema: "Sasa hivi uwanja huu tunashuhudia makundi makubwa va watalii, kwa siku moja hadi watali 2,000 jambo linaloonyesha matokeo chanya ya kutangaza vyema utalii nje kutokana na Filamu ya The Royal Tour"
Aidha alisema kuna mashirika va ndege yameongeza idadi ya miruko sambamba na uwapo wa ndege za watali binafsi wanaokuja kutembelea vivutio.
Wakala wa utalii ambaye ameleta watalii hao kutoka Ugiriki, Manasse Kidman, alisema watalii hao watakaa kwa muda wa siku tatu na wanatarajia kwenda maeneo mbalimbali ikiwamo Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
Mmoja wa watalii hao, Christos Gianakopoloulos, alisema matarajio yake ni kuona wanyama wakuu watano ambao aliambiwa Tanzania ni rahisi kuwaona kuliko nchi nyingine yeyote.
We huna gari mlevi unategemea usifie mafogo wakununulie beerToka last week
Gari zetu zote ziko booked
Niko bluestone hapa napata supu
Waambie ukweli Hawa mapimbi hawaelewi kitu!Sisi ni wazawa wa haya maeneo tumekulia hapa halafu linatokea jitu jinga kutaka kudanganya eti royal tour
Waambie ukweli Hawa machawa!Hao watalii wamekuja na shilingi au??
Inakuaje watalii wanaongezrka na dolla zinaadimika?
Hivi kila anaeshuka kilimanjaro ni mtalii??
Watanzania hawashuki na kupanda hapo?
Chawa wao wanawaza uteuzi pekee hawana wazo jingineWaambie ukweli Hawa mapimbi hawaelewi kitu!
Wehu huu sasaIdadi ya wageni wanaoshuka kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), imeongezeka kutoka 300 hadi kufikia 2000. Ongezeko hilo limechangiwa na Filamu ya The Royal Tour iliyoigizwa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan.
Hayo yalisemwa jana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Uendeshaji wa Kiwanja cha Ndege cha KIA (KADCO).
Christina Mwakatobe, wakati wa hafla ya kuwapokea watalii 54 kutoka nchini Ugiriki waliofika kwa mara ya kwanza.
Alisema idadi ya watali imeendelea kuongezeka kwa kasi kutoka watalii 780.000 mwaka 2019 kabla ya UVIKO 19 hadi 927.000 mwaka wa fedha 2022/2023 ikiwa ni ongezeko la asilimia 42.
Alisema: "Sasa hivi uwanja huu tunashuhudia makundi makubwa va watalii, kwa siku moja hadi watali 2,000 jambo linaloonyesha matokeo chanya ya kutangaza vyema utalii nje kutokana na Filamu ya The Royal Tour"
Aidha alisema kuna mashirika va ndege yameongeza idadi ya miruko sambamba na uwapo wa ndege za watali binafsi wanaokuja kutembelea vivutio.
Wakala wa utalii ambaye ameleta watalii hao kutoka Ugiriki, Manasse Kidman, alisema watalii hao watakaa kwa muda wa siku tatu na wanatarajia kwenda maeneo mbalimbali ikiwamo Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
Mmoja wa watalii hao, Christos Gianakopoloulos, alisema matarajio yake ni kuona wanyama wakuu watano ambao aliambiwa Tanzania ni rahisi kuwaona kuliko nchi nyingine yeyote.
Wanakuja kuona wanyama au wanakuja kuwashangaa watu tusiojua thamani ya rasilimali zetu na kuzigawa hovyo!!!Mmoja wa watalii hao, Christos Gianakopoloulos, alisema matarajio yake ni kuona wanyama wakuu watano ambao aliambiwa Tanzania ni rahisi kuwaona kuliko nchi nyingine yeyote.