Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu kipindi cha Super Break fast cha EA Radio, karibu Joto kali la Asubuhi la EFM, karibu katika mchapo wa Zungu mjomba Beberu cha Wasafi yaani karibu tu hata Times FM, na kwingine.
Halafu utakuta wote mshahara wao milioni moja kwa ujumla wao.
Unatoa wapi muda wa kufanya utafiti wako
Basi ujue makampuni yanaona ndo sehemu sahihi ya kufanya marketing na kufikia walaji wa bidhaa au huduma zao. Hivyo, hii inamaanisha wako on the right track ndio maana wana matangazo mengiMimi kila niki tune hiyo redio nakutanaga either na matangazo yaliyorekodiwa ama mmoja wa watangazaji akiongea kwa kujikakamua akifafanua tangazo. Sijui ni kwa namna gani binadamu wa kawaida anaweza kusikiliza hayo mambo for 5 hours
Sent from my TECNO LB7 using JamiiForums mobile app
Sijakataa ila mm nadhani ingekuwa afadhali kama wangecheza tu matangazo kwa muda maalumu kisha wachane nayo waendelee na content nyingine sio kila dakika waoni kusema tu "tupo na NMB wanakuambia sijui nn nn mara tupo na vodacom mambo kama hayo yanafanya baadhi ya wasikilizaji kwanza wakinai bidhaa au huduma zinazotangazwa kabla hawajatamani kuzitumiaBasi ujue makampuni yanaona ndo sehemu sahihi ya kufanya marketing na kufikia walaji wa bidhaa au huduma zao. Hivyo, hii inamaanisha wako on the right track ndio maana wana matangazo mengi
Mlio wa kukuKwahiyo ?
Sijui mambo ya research lakini siku moja tutakuja kujua kuwa karibia 70% ya wasikilizaji wanamfuatiliaga muhenga kipanyaSawa dada babra tumekusikia
Wenye matangazo hawawezi kukubali, maana ukipeleka tangazo unachagua muda na liruke mara ngap au wana package kabisa ina define hizo terms.Sijakataa ila mm nadhani ingekuwa afadhali kama wangecheza tu matangazo kwa muda maalumu kisha wachane nayo waendelee na content nyingine sio kila dakika waoni kusema tu "tupo na NMB wanakuambia sijui nn nn mara tupo na vodacom mambo kama hayo yanafanya baadhi ya wasikilizaji kwanza wakinai bidhaa au huduma zinazotangazwa kabla hawajatamani kuzitumia
Sent from my TECNO LB7 using JamiiForums mobile app
Halafu utakuta wote mshahara wao milioni moja kwa ujumla wao.
Kwa hili nakuunga mkono, kuna Bar huku mtaani kwetu ina wahudumu wengi kuliko wateja, huwa najiuliza huyu jamaa anawalipa vipi hawa wahidumu? Kumbe wako kimkakati.Hence there is no efficiency when looking at work done verse what has to be achieved based on the number hahaaaa
Mewahi enda sehemu nyingi za Tanzania bara, wapo wahudumu wengii kwa bar lakini wengine wapo kwa shughuli zao (wanajilipa kwa kuhudumia watejaa), kikubwa wamethaminiwa
Ngariba haogopi *kojoMimi kila niki tune hiyo redio nakutanaga either na matangazo yaliyorekodiwa ama mmoja wa watangazaji akiongea kwa kujikakamua akifafanua tangazo. Sijui ni kwa namna gani binadamu wa kawaida anaweza kusikiliza hayo mambo for 5 hours
Sent from my TECNO LB7 using JamiiForums mobile app
Sijakataa ila mm nadhani ingekuwa afadhali kama wangecheza tu matangazo kwa muda maalumu kisha wachane nayo waendelee na content nyingine sio kila dakika waoni kusema tu "tupo na NMB wanakuambia sijui nn nn mara tupo na vodacom mambo kama hayo yanafanya baadhi ya wasikilizaji kwanza wakinai bidhaa au huduma zinazotangazwa kabla hawajatamani kuzitumia
Sent from my TECNO LB7 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Mimi kila niki tune hiyo redio nakutanaga either na matangazo yaliyorekodiwa ama mmoja wa watangazaji akiongea kwa kujikakamua akifafanua tangazo. Sijui ni kwa namna gani binadamu wa kawaida anaweza kusikiliza hayo mambo for 5 hours
Sent from my TECNO LB7 using JamiiForums mobile app