Kwamba wote wenye magari wanasikiliza redio! Halafu kwani wana jf wote tunaishi mijini eti?
Kiufupi Sina gari na siishi kwenye miji ya foleni, redio sisikilizagi kanuni za maisha hazifanani punguza kihedemswede
Kipindi Cha sportsbar huwa kinaruka kihuni. Producer anafeli, ukiangalia unaweza Dhani kinafanyika stationary. Watengeneze studio. Wanazidiwa na Efm Wana mjengo wao.