Kunyinyima kuzaa ni sawa na kuharibu generation zijazo. Kama ni kweli kuwa watu hujizaa (yaani huzaa wanaowafanania), ina maana mwenye akili atazaa mwenye akili, zoba atazaa zoba, nk. Sasa utakuta watu wenye akili kubwa tu ya academics, life skills etc wanataka kuzaa mtoto mmoja tu. Na wale walioshindwa maisha (pengine kwa sababu za kimaumbile/akili nk) wanazaa watoto kibao. Miaka 20 tu ijayo watoto hawa watakapokuwa wakubwa, utakuta watu 'dhaifu' mazoba wanakuwa wengi sana, na wale 'wa maana' wanakuwa wachache sana, nchi itaendeleaje? Hata katika uchaguzi msishangae tukajapata rais na wabunge mitaahira kwa sababu yatakayokuwa yanapiga kura ni mijitu vichwamaji, kisa tu wenye uwezo waligoma kuzaa tukajaziwa mijinga tu mtaani!
Watu wenye uwezo na akili za biashara kubwakubwa kama kina Mengi walipaswa wazae hata watoto 10 au zaidi, wana uwezo wa kuwatunza vizuri na kuwasomesha, wakatupatia per family kina Mengi wengine 10 or more. Watu kama wale maprofesa wenye vichwa vya maana wanaovumbua vitu vya kuendeleza taaluma duniani walipaswa wazae hadi itakaposhindikana, tupate maprofesa wengi zaidi. Wale kina nanii wanaogoma kuhama mabondeni, wale wengine tunaowaona kwenye tv wanaolala kwenye maboksi, wale ndio wangezuiwa kuzaa, au wapangiwe mtoto mmoja tu au wawili mwisho, maana ndio wanaotujazia vibaka mtaani.
Watu wenye uwezo na akili za biashara kubwakubwa kama kina Mengi walipaswa wazae hata watoto 10 au zaidi, wana uwezo wa kuwatunza vizuri na kuwasomesha, wakatupatia per family kina Mengi wengine 10 or more. Watu kama wale maprofesa wenye vichwa vya maana wanaovumbua vitu vya kuendeleza taaluma duniani walipaswa wazae hadi itakaposhindikana, tupate maprofesa wengi zaidi. Wale kina nanii wanaogoma kuhama mabondeni, wale wengine tunaowaona kwenye tv wanaolala kwenye maboksi, wale ndio wangezuiwa kuzaa, au wapangiwe mtoto mmoja tu au wawili mwisho, maana ndio wanaotujazia vibaka mtaani.