Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Angalia vizuri mkuu hiyo B. 3.99 Ni Male peke yakeKutoka 3.99B 2022 ghafla 2024 bilioni 8? kajipange
😄😄😄😄 LaaanaHapo baina ya hao wanaume wanaoongoza kuna wanawake vile vile mithili ya kina Juma Lokole
Ulisikia kijiwe gani mkuu😅Uongo mwingine huu.
Wanaume hawawezi kuwa wengi kuliko wanawake kamwe.
Hao ndio black people hana fact na anapinga piaUlisikia kijiwe gani mkuu😅
Ulisikia kijiwe gani mkuu😅
Ulisikia kijiwe gani mkuu😅
Hapo haiongelewi Ndoa mkuu masuala ya Ndoa Ni tofauti maana sio wanaume wote wataoa au wapo kwenye umri wa kuoa pia idadi kwa nchi na nchi inatofautiana labda tuwaulize wenye kuandaa hizo takwimuPolygamist hutumia kigezo cha wingi wa wanawake dhidi ya uchache wa wanaume ili kuhalalisha wao wanaume kuwamiliki wanawake wengi; Now—kama mtoa mada uko sahihi, meza imepinduka—wanaume ni wengi kuliko wanawake; je, ni halali sasa kwa wanawake kumiliki wanaume zaidi ya moja (Polyandry)?
Cha mama yako.Ulisikia kijiwe gani mkuu😅
Acha makasiriko mkuuCha mama yako.
Mkuu, takwimu ni nyenzo ya kufanyia uchambuzi na kuyaelewa masuala mbalimbali. Mimi nimetumia takwimu hizo kufanya reflection ya suala la ndoa kwenye jamii yetu.Hapo haiongelewi Ndoa mkuu masuala ya Ndoa Ni tofauti maana sio wanaume wote wataoa au wapo kwenye umri wa kuoa pia idadi kwa nchi na nchi inatofautiana labda tuwaulize wenye kuandaa hizo takwimu
Wanaume wanaongezeka au wanapungua??Idadi ya watu duniani inatarajiwa kufika Bilioni 8, kunako January 1 huku sisi Me tukitarajiwa kuongoza kwa asilimia chache.
Ongezeko la watu duniani linachangiwa na vitu vifuatavyo;
✓ Kuboreka kwa huduma za kibinadamu hasa teknolojia ya matibabu
✓ Upatikanaji wa vyakula
Ongeza zakwako.
View attachment 2856474
Polygamist hutumia kigezo cha wingi wa wanawake dhidi ya uchache wa wanaume ili kuhalalisha wao wanaume kuwamiliki wanawake wengi; Now—kama mtoa mada uko sahihi, meza imepinduka—wanaume ni wengi kuliko wanawake; je, ni halali sasa kwa wanawake kumiliki wanaume zaidi ya moja (Polyandry)?
Idadi ya watu duniani inatarajiwa kufika Bilioni 8, kunako January 1 huku sisi Me tukitarajiwa kuongoza kwa asilimia chache.
Ongezeko la watu duniani linachangiwa na vitu vifuatavyo;
✓ Kuboreka kwa huduma za kibinadamu hasa teknolojia ya matibabu
✓ Upatikanaji wa vyakula
Ongeza zakwako.
View attachment 2856474
MhhhhAngalia vizuri mkuu hiyo B. 3.99 Ni Male peke yake
Hiyo 3 ni kwa male au female pekeeKutoka 3.99B 2022 ghafla 2024 bilioni 8? kajipange