Idadi ya wawekezaji nchini Tanzania yazidi kupaa

Idadi ya wawekezaji nchini Tanzania yazidi kupaa

Hao wawekezaji hawajaanza kuja leo,shida wanakuja alafu wanapotea hawarudi,mnapaswa kujiuliza kwanini hawarudi?Mama yenu mwenyewe analalamika wawekezaji wanazungushwa mpaka wanakata tamaa!
Kwaiyo Mama anasema uongo ndugu zanguuuu......?
Ata Kikwete alivyoingia madarakani walikuja wasanii kibao kwa jina la wawekezaji kutoka Marekani na walikaa vikao Arusha chini ya mwamvuli wa Sulvan Summit.
Sector ambayo tumefanikiwa kuvutia wawekezaji ni ya madini tu ingawa nako tumepigwa za uso sana!
 
Ziara za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kwenye mataifa mbalimbali duniani zimezaa matunda kwa kufanya idadi ya wawekezaji nchini kuongozeka.

Rais Samia amekua akiwahakikishia wawekezaji kutoka nje kuja nchini kwani kuna mazingira mazuri ya uwekezaji na pia malighafi zote zinatohitajika katika shughuli za uwekezaji.

“Ndugu zangu mabibi na mabwana, serikali imeendelea kuweka mazingira wezeshi na rafiki kwa ufanyaji wa biashara na uwekezaji. Tunafahamu bila mchango wa sekta binafsi hatuwezi kuleta mageuzi makubwa ya uchumi wa nchi yetu.” - Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

Pia, Rais Samia ameshawishi wawekezaji wengi kuja kuwekeza nchini kupitia filamu ya Royal Tour Tanzania ambapo ndani yake Mkuu huyu wa nchi ameonyesha vivutio vingi vinavyopatikana Tanzania hivyo kuzidi kuvutia wageni kuja kuwekeza nchi kwenye sekta ya utalii.

Hivi sasa, takwimu zinaonyesha kwamba idadi ya watalii wanaoingia nchini hususani jijini Dar es Salaam imeongezeka kwa asilimia 280 na Arusha asilimia 340 na hii ni kutokana na namna Rais Samia Suluhu anavyojitahidi kunadi utalii na vivutio vilivyopo nchini.

Tayari wawekezaji wameanza kuja nchini na kuwekeza kwenye maeneo mbalimbali huku Rais Samia alihamasisha kuonyesha ushirikiano kwao pindi wanapoonyesha nia ya kuja kuwekeza kwani kupitia wao ajira zitazalishwa na pia kubadilishana ujuzi wa mambo mbalimbali.

Baada ya kumalizikina kwa maonyesho ya sabasaba mwaka huu 2022, ilisainiwa mikataba 19 na wawekezaji waliotembela maonyesho hayo kutoka mataifa mbalimbali.

Mikataba 10 ya ujenzi wa viwanda vikubwa 500 vya kuchakata nafaka, kuuza na kununua mazao, ufugaji samaki, usafirishaji bidhaa kimataifa utakaokamilika mwaka 2025.

Mikataba 9 ya uwekezaji wa eneo maalum la viwanda la Sino Tan Park ambavyo ni Kwara vilivyopo Kibaha mkoani Pwani.

Viwanda hivyo vitazalisha ajira 500,000 ambapo 100,000 ajira za moja kwa moja na 400,000 za muda.

View attachment 2295228
Hii nchi yetu nadharia huwa ina nguvu kuliko vitendo, kama investors ni wengi tutarajie kurudi kwenye uchumi wa kati.
 
Wawekezaji wako wapi? Kama wapo na hawaleti nafuu ya maisha ya watu wa kawaida nini faida yake?

Ni wezi tu siyo wawekezaji
JamiiForums915735144.jpg
 
Kubomolewa nyumba kupisha mwekezaji ndicho kipaumbele awamu hii!!lolliondo, ngoro ngoro,nzega,nyamongona n.k watz walilia Sana!!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba Mpya""!
Kweli elimu ya Tanzania inatakiwa kufumuliwa na kusukwa upya Ili kupunguza kama sio kumaliza mataahira na mbumbumbu kama wewe..

Kwamba Katiba ya Warioba itawapiga marufuku Wawekezaji sio?

Kwamba Wawekezaji wakihitaji Ardhi au Serikali ikihitaji Ardhi huwa inawapora na kuwafukuza wananchi sio? Unaweza nipa mfano Wananchi walikofukuzwa bila au kuondolewa bila fidia?

Zinduka usingizini Rais Samia yuko madarakani sio Jiwe,hata hiyo Katiba mpya yeye Kwa utashi ndio anatake ila ccm hawataki na Kwa taarifa yako alishasema Katiba mpya itakuja hata kama itagharimu madaraka yake hajali bali itakuwa ni alama muhimu kaacha hapa Duniani.
 
Kweli elimu ya Tanzania inatakiwa kufumuliwa na kusukwa upya Ili kupunguza kama sio kumaliza mataahira na mbumbumbu kama wewe..

Kwamba Katiba ya Warioba itawapiga marufuku Wawekezaji sio?

Kwamba Wawekezaji wakihitaji Ardhi au Serikali ikihitaji Ardhi huwa inawapora na kuwafukuza wananchi sio? Unaweza nipa mfano Wananchi walikofukuzwa bila au kuondolewa bila fidia?

Zinduka usingizini Rais Samia yuko madarakani sio Jiwe,hata hiyo Katiba mpya yeye Kwa utashi ndio anatake ila ccm hawataki na Kwa taarifa yako alishasema Katiba mpya itakuja hata kama itagharimu madaraka yake hajali bali itakuwa ni alama muhimu kaacha hapa Duniani.
Kama fidia zimelipwa KWANINI lolliondo mauaji yalitokea!!?si fidia wamelipwa!!?Sasa nguvu ya Nini itumike!!?

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
 
Ziara za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kwenye mataifa mbalimbali duniani zimezaa matunda kwa kufanya idadi ya wawekezaji nchini kuongozeka.

Rais Samia amekua akiwahakikishia wawekezaji kutoka nje kuja nchini kwani kuna mazingira mazuri ya uwekezaji na pia malighafi zote zinatohitajika katika shughuli za uwekezaji.

“Ndugu zangu mabibi na mabwana, serikali imeendelea kuweka mazingira wezeshi na rafiki kwa ufanyaji wa biashara na uwekezaji. Tunafahamu bila mchango wa sekta binafsi hatuwezi kuleta mageuzi makubwa ya uchumi wa nchi yetu.” - Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

Pia, Rais Samia ameshawishi wawekezaji wengi kuja kuwekeza nchini kupitia filamu ya Royal Tour Tanzania ambapo ndani yake Mkuu huyu wa nchi ameonyesha vivutio vingi vinavyopatikana Tanzania hivyo kuzidi kuvutia wageni kuja kuwekeza nchi kwenye sekta ya utalii.

Hivi sasa, takwimu zinaonyesha kwamba idadi ya watalii wanaoingia nchini hususani jijini Dar es Salaam imeongezeka kwa asilimia 280 na Arusha asilimia 340 na hii ni kutokana na namna Rais Samia Suluhu anavyojitahidi kunadi utalii na vivutio vilivyopo nchini.

Tayari wawekezaji wameanza kuja nchini na kuwekeza kwenye maeneo mbalimbali huku Rais Samia alihamasisha kuonyesha ushirikiano kwao pindi wanapoonyesha nia ya kuja kuwekeza kwani kupitia wao ajira zitazalishwa na pia kubadilishana ujuzi wa mambo mbalimbali.

Baada ya kumalizikina kwa maonyesho ya sabasaba mwaka huu 2022, ilisainiwa mikataba 19 na wawekezaji waliotembela maonyesho hayo kutoka mataifa mbalimbali.

Mikataba 10 ya ujenzi wa viwanda vikubwa 500 vya kuchakata nafaka, kuuza na kununua mazao, ufugaji samaki, usafirishaji bidhaa kimataifa utakaokamilika mwaka 2025.

Mikataba 9 ya uwekezaji wa eneo maalum la viwanda la Sino Tan Park ambavyo ni Kwara vilivyopo Kibaha mkoani Pwani.

Viwanda hivyo vitazalisha ajira 500,000 ambapo 100,000 ajira za moja kwa moja na 400,000 za muda.

View attachment 2295228
Tumeona hadi Wamasai wamehamishwa kupisha Wawekezaji , Hongereni sana
 
Wewe kula tu, ndio kawaida yenu ila usijisahau uwa yanapita
 
Kubomolewa nyumba kupisha mwekezaji ndicho kipaumbele awamu hii!!lolliondo, ngoro ngoro,nzega,nyamongona n.k watz walilia Sana!!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba Mpya""!
Em wakajaribu kwa wale majirani wa wamasai kubomoa makazi ya Wameru na kuweka wawekezaji tuone moto
 
Back
Top Bottom