Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Haya ni maoni yangu binafsi kabisa lengo ni kuweka utaratibu ulio bora zaidi wa utoaji maoni kulingana na mada mbalimbali zinazowasilishwa jukwaani
Idara maalumu za Serikali yetu zina uzoefu na weledi mkubwa hivyo naomba zitumiwe kikamilifu kutathimi kwa njia ya kupitia , kuchambua na kushauri ipasavyo utoaji maoni huku haki za wahusika zikilindwa Kwa mujibu wa sheria
Utaratibu huo naamini utaondoa maoni au mada zisizo na manufaa kwa nchi yetu
Naomba kuwasilisha
Sabato njema
Haya ni maoni yangu binafsi kabisa lengo ni kuweka utaratibu ulio bora zaidi wa utoaji maoni kulingana na mada mbalimbali zinazowasilishwa jukwaani
Idara maalumu za Serikali yetu zina uzoefu na weledi mkubwa hivyo naomba zitumiwe kikamilifu kutathimi kwa njia ya kupitia , kuchambua na kushauri ipasavyo utoaji maoni huku haki za wahusika zikilindwa Kwa mujibu wa sheria
Utaratibu huo naamini utaondoa maoni au mada zisizo na manufaa kwa nchi yetu
Naomba kuwasilisha
Sabato njema