Idara ya uhamiaji kaeni mjitafakari utendaji kazi wenu, wilayani na mikoani

Idara ya uhamiaji kaeni mjitafakari utendaji kazi wenu, wilayani na mikoani

REJESHO HURU

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2014
Posts
4,664
Reaction score
9,929
Niende moja kwa moja kwenye mada naomba mod usiunganishe huu uzi maana hawa uhamiaji Uzi zao zimekuwa nyingi sana, na ni jeshi ambalo kama limejisahau hivi wao wanachoweza ni kutembelea nyumba za wageni, vituo vya usafiri kukuta wageni na kubageini biashara imeisha hawatimizi wajibu wao wakiamini watanzania wengi hatuna uelewa kuhusu sheria za uraia nk hii imepelekea raia wa kigeni wengi kujazana mitaani uku nakuanza kufanya shughuli ambazo hata wazawa wanaziweza hawa raia wapo na imani ofisi za uhamiaji mikoani na wilayani wanawajua ila wanawaacha wakiamini watanzania hatujui kinachoendelea Sasa tumechoka Kila mtu ashinde mechi zake, mwisho wa siku mtatuona raia wabaya kwani tutaanza wabananisha siye wenyewe uku mitaani, yani tukimuona anafanya biashara au shughuli ambayo tunajua kihalali haruhusiwi tutaanza wabananisha na kuwarekodi Sasa ewe afisa uhamiaji ambaye unajua eneo lako hawa watu wapo na unacheka Cheka nao au umewageuza kitega uchumi chako jiandae kuhesabiwa tumechoka

Mfano uuzaji wa vyombo vya kutumia majumbani mfano sufuria, chupa za chai nk, limeingia kundi la raia wakieshia mikoani uko na wilayani wanapita maofisini wanakopesha hivyo vitu, Sasa unapata wasi wasi hivi uyu katoka kwao uko kaja na hii biashara na kapewa kibari kabisa auze hizi bidhaa ajabu wengine wamekodi na nyumba wanaishi mitaani na raia

Mafundi ujenzi, mafundi magari wapo na wengi wa aisia unajiuliza uyu kapanda ndege aje kubeba zenge uku yani tukiendelea kucheka Cheka tutawaona mpaka kwenye boda boda

Tunasema haya si kwa wivu tunasema haya kwa sababu nchi za wenzetu tukienda wenzetu wapo seriously na mambo yao huwezi jiamulia kuuza vitumbua kisa unajua kupika vitumbua, au kufungua ofisi ya kushona nguo kisa unajua kushona

NB

Kauli za watanzania hatupendi kazi tumezubaa acha wenzetu wachangamkie hapa si mahala pake mod mtu akikomenti hivyo piga ban tupo seriously na mambo ya msingi hapa.
 
Niende moja kwa moja kwenye mada naomba mod usiunganishe huu uzi maana hawa uhamiaji Uzi zao zimekuwa nyingi sana, na ni jeshi ambalo kama limejisahau hivi wao wanachoweza ni kutembelea nyumba za wageni, vituo vya usafiri kukuta wageni na kubageini biashara imeisha hawatimizi wajibu wao wakiamini watanzania wengi hatuna uelewa kuhusu sheria za uraia nk hii imepelekea raia wa kigeni wengi kujazana mitaani uku nakuanza kufanya shughuli ambazo hata wazawa wanaziweza hawa raia wapo na imani ofisi za uhamiaji mikoani na wilayani wanawajua ila wanawaacha wakiamini watanzania hatujui kinachoendelea Sasa tumechoka Kila mtu ashinde mechi zake, mwisho wa siku mtatuona raia wabaya kwani tutaanza wabananisha siye wenyewe uku mitaani, yani tukimuona anafanya biashara au shughuli ambayo tunajua kihalali haruhusiwi tutaanza wabananisha na kuwarekodi Sasa ewe afisa uhamiaji ambaye unajua eneo lako hawa watu wapo na unacheka Cheka nao au umewageuza kitega uchumi chako jiandae kuhesabiwa tumechoka

Mfano uuzaji wa vyombo vya kutumia majumbani mfano sufuria, chupa za chai nk, limeingia kundi la raia wakieshia mikoani uko na wilayani wanapita maofisini wanakopesha hivyo vitu, Sasa unapata wasi wasi hivi uyu katoka kwao uko kaja na hii biashara na kapewa kibari kabisa auze hizi bidhaa ajabu wengine wamekodi na nyumba wanaishi mitaani na raia

Mafundi ujenzi, mafundi magari wapo na wengi wa aisia unajiuliza uyu kapanda ndege aje kubeba zenge uku yani tukiendelea kucheka Cheka tutawaona mpaka kwenye boda boda

Tunasema haya si kwa wivu tunasema haya kwa sababu nchi za wenzetu tukienda wenzetu wapo seriously na mambo yao huwezi jiamulia kuuza vitumbua kisa unajua kupika vitumbua, au kufungua ofisi ya kushona nguo kisa unajua kushona

NB

Kauli za watanzania hatupendi kazi tumezubaa acha wenzetu wachangamkie hapa si mahala pake mod mtu akikomenti hivyo piga ban tupo seriously na mambo ya msingi hapa.
Hi nchi ina chagamoto nyingi na hatari kuliko hiyo ya raia wakigeni kufanya kazi nchini, nina wakika hujatebelea nchi nyingi za jilani na za mbali kama SA, Uingereza, Botswana Zimbabwe nk, katika sekita tunazo fanya vizri nchini hapa ni hiyo ya uamiaji, hapa Johannesburg wa Tzania ambao hawana kibali chochote hata pass ya kusafiria ni zaidi ya million moja ila kazi haram na halali zote wanafanya vizri tu, huo ni mfano moja njoo hapa jilani wetu Kenya na Ug ndo utajua kwamba wtzania tumetapaka kama karanga na sifa moja ya mtzania utakae kutana nae nje nikukosa docs...........kwangu uhamiaji wa Tz wamejitahidi sana ukilinganisha na nchi zingine
 
Hi nchi ina chagamoto nyingi na hatari kuliko hiyo ya raia wakigeni kufanya kazi nchini, nina wakika hujatebelea nchi nyingi za jilani na za mbali kama SA, Uingereza, Botswana Zimbabwe nk, katika sekita tunazo fanya vizri nchini hapa ni hiyo ya uamiaji, hapa Johannesburg wa Tzania ambao hawana kibali chochote hata pass ya kusafiria ni zaidi ya million moja ila kazi haram na halali zote wanafanya vizri tu, huo ni mfano moja njoo hapa jilani wetu Kenya na Ug ndo utajua kwamba wtzania tumetapaka kama karanga na sifa moja ya mtzania utakae kutana nae nje nikukosa docs...........kwangu uhamiaji wa Tz wamejitahidi sana ukilinganisha na nchi zingine
Boss tusiharalishe halamu kisa jirani Kuna halamu, uhamiaji watimize majukumu yao tusiseme mbona Kenya wapo au South Africa kwaiyo siye tutulie au tuanze jisifia
 
Back
Top Bottom