Idara ya Ulinzi na Usalama itupie jicho uwanja wa Mkapa, tofauti na hivyo Furaha itakua Kilio

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Mpaka Sasa mashabiki ni wengi kufikia hatua ya kuvunja geti na kuingia na hiyo inatokana na utendaji mbovu wa pale getini.

Kama timu imetangaza kuwa tiketi zote 60000 zimeuzwa watendaji walipaswa kufungua geti mapema sana lakini kutokana na utendaji wao mbovu imapelekea mpaka kuvunjwa kwa geti maana watu wamejaa njee mpaka wamechoka.

Idara ya ulinzi na usalama ni matumaini yangu kuwa mmejipanga vilivyo katika kuboresha ulinzi.

Pia, soma: Mashabiki wavunja mageti uwanja wa Benjamin Mkapa
 
Kuna watu wanataka kutumia fursa wapate chochote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…