Miki123
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 289
- 503
Idara za ujasusi USA zimeshindwa kuja na hitimisho kuhusiana na asili ya kirusi kinachosababisha ugonjwa WA covid(uviko).
Baada ya kufanya ushushu, wachunguzi wameafikiana kuwa Corona sio BIOLOGICAL WEAPON Kwa ajili ya kuangamiza watu.
Kuna nadharia mbili ambazo zina mgongano.
1. MATUKIO YA MAABARA YA WUHAN
2. WANYAMA
Baadhi ya idara za ushushu zinadai korona imeanzia kwenye MAABARA ya Wuhan inayofahamika kama Wuhan institute of virology.
Maafisa wengine uchunguzi wao unaonyesha chanzo cha korona ni WANYAMA.
Biden ameishutumu China kutokutoa ushirikiano na ameahidi majibu lazima yapatikane.
China inaishutumu marekani Kwa kuligeuza swala la korona kuwa la kisiasa.
www.bbc.com
Summary ya ripoti
Baada ya kufanya ushushu, wachunguzi wameafikiana kuwa Corona sio BIOLOGICAL WEAPON Kwa ajili ya kuangamiza watu.
Kuna nadharia mbili ambazo zina mgongano.
1. MATUKIO YA MAABARA YA WUHAN
2. WANYAMA
Baadhi ya idara za ushushu zinadai korona imeanzia kwenye MAABARA ya Wuhan inayofahamika kama Wuhan institute of virology.
Maafisa wengine uchunguzi wao unaonyesha chanzo cha korona ni WANYAMA.
Biden ameishutumu China kutokutoa ushirikiano na ameahidi majibu lazima yapatikane.
China inaishutumu marekani Kwa kuligeuza swala la korona kuwa la kisiasa.
Covid origin: US spy agencies publish 'inconclusive' report
The office that oversees US spy agencies could not establish how the coronavirus pandemic began.
Summary ya ripoti