JOTO LA MOTO
JF-Expert Member
- Apr 11, 2018
- 758
- 555
Kumbe alikua na maono mazuri tu kuhusu kiswahili.Pamoja na mazonge yake yote bado Jamaa alikikubali kiswahili.
Huyu jamaa alikuwa na mazuri yake pia.Kumbe alikua na maono mazuri tu kuhusu kiswahili.
Ha ha Safi angalau historia yake wangeyatambua haya mazuri kidogo aliyofanyaHuyu jamaa alikuwa na mazuri yake pia.
[emoji1485]Alikataa misaada ya wazungu, alisema ina hidden agenda ndani yake ni kheri msaada wa mwarabu.
[emoji1485]Kuvaa ndala nje ya nyumba yako ilikuwa kosa la jinai. Hata kama unakwenda kununua kibiriti dukani vaa viatu na socks. Hii ilileta discipline katika mavazi.
Na mimi nasisitiza kuwaMwaka 2011 ktk maadhimisho ya siku ya kuzaliwa malkia wa Uingereza, wakenya walisemekana kuwa ndio wenye Lugha ya kiswahili na walitakiwa kutoa speech ktk lugha ya kiswahili. Ukweli ni kwamba wao hawapo vizuri hivyo walimkodi mtanzania MRISHO MPOTO ili akatoe speech ile mbele ya malkia naye akafanya hivyo, sasa km serikali ya awamu ile haikulipigia kelele hilo ingewezaje kupigia kelele suala la mlima Kilimanjaro kuwa ni wa Kenya?
Ila kwa kipindi hiki tarajia kuona watu wakiwajibika ipasavyo, na masuala km hayo ya mlima Kilimanjaro pamoja na Kiswahili hayawez tokea tena.
MPOTO aliihujumu Jamhuri ya Muungano Tanzania kitamaduni, kidesturi,kisiasa na kidiplomasia kama kweli tukio hili lilitokea na yeye alijua kabisa kuwa amekodiwa kwa malengo hayo ya wakenya na UK. Kwa kitendo hicho, Mpoto anatakiwa kuomba radhi Jamhuri ya Muungano Tanzania kabla rungu halijamshukia. Ule ulikuwa utovu wa uzalendo wa hali ya juu kabisa.