Idd Ninga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 5,497
- 4,775
Sehemu ya kwanza.
Kabla ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar,Tanzania ilikuwa ikujulikana kama Tanganyika.
Tanzania ni moja kati ya nchi kadhaa duniani zenye kuhifadhi wakimbizi na kundi kubwa ni la wakimbizi wanaokimbia vita katika nchi zao.
Licha hiyo,Tanzania iliwahi kuhifadhi wakimbizi wazungu ambao na wao walikimbia vita katika taifa lao kama wafanyavyo wakimbizi wa Congo au Rwanda.
Ni sehemu ya historia katika nchi yetu ambayo haijulikani na wengi na hata unapowasili katika eneo la Tengeru palipokuwa kambi hiyo si ajabu kukuta hata wakazi wa eneo hilo hawatambui kuwa kulikuwa na kambi kubwa ya wakimbizi.
Nilijaribu kufuatilia sana historia ya eneo hilo na kweli nilibahatika kumpata mzee mmoja ambae aliweza kufanya kazi enzi ya wapoland hao lakini nilipomueleza kuwa nafuatilia historia ya eneo hilo na jinsi wazungu hao walivyoishi,mzee huyo aligoma kuniambia chochote mpaka nitoe kitu kidogo kwani aliamini naitafuta historia hiyo kwa ajili ya biashara.
Zamani kabla ya ujio wa wakimbizi hao eneo hilo lilikuwa halijulikani wa jina Tengeru lakini baada ya wao kufika ndipo eneo hilo lilipata jina la Tengeru linalotokana na MTO TENGERU.
Ilikuwa ni safari ndefu yenye mateso ambayo iliwafikisha hapo katika eneo la Tengeru.
Mwaka 1942 hadi 1952 historia iliandikwa.
Je, ilikuwaje katika safari yao mpaka wakafika eneo la Tengeru?
Ungana nami katika sehemu inayofuata.
Maoni na maswali/ushauri=iddyallyninga@Gmail.com
Kabla ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar,Tanzania ilikuwa ikujulikana kama Tanganyika.
Tanzania ni moja kati ya nchi kadhaa duniani zenye kuhifadhi wakimbizi na kundi kubwa ni la wakimbizi wanaokimbia vita katika nchi zao.
Licha hiyo,Tanzania iliwahi kuhifadhi wakimbizi wazungu ambao na wao walikimbia vita katika taifa lao kama wafanyavyo wakimbizi wa Congo au Rwanda.
Ni sehemu ya historia katika nchi yetu ambayo haijulikani na wengi na hata unapowasili katika eneo la Tengeru palipokuwa kambi hiyo si ajabu kukuta hata wakazi wa eneo hilo hawatambui kuwa kulikuwa na kambi kubwa ya wakimbizi.
Nilijaribu kufuatilia sana historia ya eneo hilo na kweli nilibahatika kumpata mzee mmoja ambae aliweza kufanya kazi enzi ya wapoland hao lakini nilipomueleza kuwa nafuatilia historia ya eneo hilo na jinsi wazungu hao walivyoishi,mzee huyo aligoma kuniambia chochote mpaka nitoe kitu kidogo kwani aliamini naitafuta historia hiyo kwa ajili ya biashara.
Zamani kabla ya ujio wa wakimbizi hao eneo hilo lilikuwa halijulikani wa jina Tengeru lakini baada ya wao kufika ndipo eneo hilo lilipata jina la Tengeru linalotokana na MTO TENGERU.
Ilikuwa ni safari ndefu yenye mateso ambayo iliwafikisha hapo katika eneo la Tengeru.
Mwaka 1942 hadi 1952 historia iliandikwa.
Je, ilikuwaje katika safari yao mpaka wakafika eneo la Tengeru?
Ungana nami katika sehemu inayofuata.
Maoni na maswali/ushauri=iddyallyninga@Gmail.com