MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Tukishajua hili inatusaidia nini katika mahangaiko yetu ya kutafuta riziki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale upanga east pembeni ya barabara kuna makaburi ya kipekee sana sijui kama na yenyewe yanawahusu haoKuna wengine walifariki walizikwa bongo
Hat ukienda makaburi ya kinondoni pale
Ukingia utakutana na taarifa zao kwenye bongo
Lao
Ova
... miaka 8 umri wa mtu bro! Ni wangapi walitamani kuipata stori yote lakini wameondoka bila kuipata; ndani ya miaka 8 tumepoteza wapendwa wengi mno. Utarudi baada ya miaka mingapi kaka?
Mtoa mada kazingua sana...enzi hizo analeta hii story nilikua bado mwanafunzi ila bado hajakamilisha mpaka leo.... miaka 8 umri wa mtu bro! Ni wangapi walitamani kuipata stori yote lakini wameondoka bila kuipata; ndani ya miaka 8 tumepoteza wapendwa wengi mno. Utarudi baada ya miaka mingapi kaka?