Iddi Hamidu kashindikana asifananishwe na yeyote

Iddi Hamidu kashindikana asifananishwe na yeyote

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Naona mara kwa mara watu wamekuwa wakiwashindanisha "Mtoto Iddi" -------Sir Nature na "Selemani" ---------Mboso kwamba nani zaidi.

Achaneni kabisa na huyo mtoto Iddi ameshindikanika kabisa huyu mtoto. Miongoni mwa visa vyake na mikasa.

  • Kumkata makonde baba yake mzazi ni jambo la kawaida sana.
  • Ana kesi kadhaa za mauaji.
  • Ana kesi kadhaa za wizi sio chini ya 26 na kila akipelekwa polisi anatoka mpaka wananchi wakamuwekea mtego maana walikuwa wameshamchoka.
  • Ni tapeli aliyekubuhu .
  • Akienda na pesa baa hakubali kuingia hasara kurudi mikono mitupu atatega mingo asubiri watu walewe awaibie kirahisi.
  • Ni bingwa wa kupenya madirishani kuiba .
  • Mlevi ,mvuta bangi.
  • Mgomvi mgomvi.
  • Amepigwa mapanga mara kadhaa lakini bado habadiriki.
  • Sura yake inatosha sana (sura kibandidu) ukimuona tu huulizi mara mbili mbili kama dogo ni mtu wa matukio .
Kesi mahakamani kwake ni kawaida sana. .

Tuje kwa huyo Selemani
  • Mvuta Shisha
  • Mvuta mirungi
  • Mvuta bangi
  • Mlevi
  • Kuwadi
Kupenda kujipost post akiwa viwanja.

😂😂😂😂😂😂😂Sasa watu hawa mnawafananisha vipi?

Sele huyo ni mdananda tu hana maajabu asilinganishwe kabisa na mtoto mtukutu Iddi Hamidu

1696587001107.jpg
images (1).jpeg
 
mbn lakkva boi wha chege mmemsahau sana
je dingi yake mandojo nca domokaya
 
Back
Top Bottom