IDed- The woman found dead alongside Chris Musando...

IDed- The woman found dead alongside Chris Musando...

it could be that he was killed by the jealous boyfriend....huyu jamaa hata kama tunamwombea mema, alikuwa anafanya ka ukora flani...sielewi vile jamaa alienda pekee yake kule roysambu bila hata protection...there was no communication to the family or to work members that he had gone there...then his car is found somewhere in a plot in Roysanmbu...a whole ICT manager anafanya nini roysambu kama si mpango wa kando...
Vp kuhusu kukatwa mkono , mbona husemi hapo mkuu
 
Hiyo haiwezekani, hizo ni spin tu wamemua na huyo binti ili kufunika mambo.
Boyfriend gani atamshika jamaa huyo Chris amtoe kwenye gari alipaki gari vizuri harafu akawaue hao wawili huko porini bila ya hao wawili kupiga hata kelele? Walim hijack hao wakapeleka huko gari na yeye wakaenda kumsurubisha na kumtupa waliko mtupa.
Na kwanin mkono haupo
 
siyo vyema mtu akija na differing opinion una threaten kumnyamanzisha ati because he is a tanzanian, haya ondokeni na mada zenu mpeleke blogs za kenya ili mpendezwe na opinions za members
Huyu jamaa anatatizo la unemployment stress kwa hiyo aki comment muelewe tu. Stress za unemployment huku akijaribu kumlinda mtu anaembania employment lazima kidogo zimluke. Hiyo inaitwa kichaa karogwa tena.
543832_529557443728766_447453027_n.jpg
 
Kama kazi unafanyia nyumbania during working days you are truly unemployed. Wewe huna tofauti na maid wa nyumbani. JF na tumia mobile phone. Umesema the all day umekuwa uko watch TV. Lol. House Maid.
niliwaambia watanzania habari inaangaliwa mpaka chooni huku Kenya...internet fast sana....sasa wewe jifurahishe tu...
 
Huyu jamaa anatatizo la unemployment stress kwa hiyo aki comment muelewe tu. Stress za unemployment huku akijaribu kumlinda mtu anaembania employment lazima kidogo zimluke. Hiyo inaitwa kichaa karogwa tena.View attachment 555509
una ufaham kuwa mkenya wa kawaida ana pesa zaidi na faida zaidi kuliko mtanzania wa kawaida...unemployed or not, Kenyans are way richer than u
 
una ufaham kuwa mkenya wa kawaida ana pesa zaidi na faida zaidi kuliko mtanzania wa kawaida...unemployed or not, Kenyans are way richer than u
yes, kenyans are rich, si ndo unaona walishinda hata kesi ya post election violence ya kule ICC. bravo kenya
 
una ufaham kuwa mkenya wa kawaida ana pesa zaidi na faida zaidi kuliko mtanzania wa kawaida...unemployed or not, Kenyans are way richer than u
Kenya inaongoza East Africa kwa kulipa mishahara midogo wasomi wao japo wamesoma sana. Tulia nikuletee evidence wewe.
 
Kenya inaongoza East Africa kwa kulipa mishahara midogo wasomi wao japo wamesoma sana. Tulia nikuletee evidence wewe.


Mulisaa hebu tafuta thread ingine upost hizo maujinga zako huko, hii thread ni ya kuwaomboleza hawa wafiwa, wewe kwa kila thread unataftanga tu kukorofishana na wakenya.

Kuna threads nyingi for those issues pliz, pia unaeza anzisha yako!

U are derailing the topic so unnecesarily.
 
una ufaham kuwa mkenya wa kawaida ana pesa zaidi na faida zaidi kuliko mtanzania wa kawaida...unemployed or not, Kenyans are way richer than u
Eti Kenyan are away richer than Tanzanian. Usitaki hii evidence niifanyie thread. Niliwambia I have a lot of information to do with Kenya sema huwa siweki. Sasa pata habari kamili.
Screenshot_2017-08-01-19-32-40.png
Screenshot_2017-08-01-19-32-52.png
Screenshot_2017-08-01-19-33-14.png
Screenshot_2017-08-01-19-34-00.png
 
it could be that he was killed by the jealous boyfriend....huyu jamaa hata kama tunamwombea mema, alikuwa anafanya ka ukora flani...sielewi vile jamaa alienda pekee yake kule roysambu bila hata protection...there was no communication to the family or to work members that he had gone there...then his car is found somewhere in a plot in Roysanmbu...a whole ICT manager anafanya nini roysambu kama si mpango wa kando...
A cold Hearted Nyang'au...mna damu na mioyo baridi mno...how could you utter such a nosense and a stupid words...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ndo muache uhuni huyo chris alikuwa na mke na familia.alitoka wapi na huyo binti tena toka mchana walikuwa nae ni hawara yake kitambo.sasa hivi mnasema eti aliuwawa tu akaunganishwa.
Akili yako wakati wote hufikiria ngono Affairs.
 
Wewe jamaa ulisha ondolewa malinda jamani. Kaeni na Jubilee yenu.
Sasa malinda ndo nini wewe mshamba? Acha usangwenya unabishana na watu ambao wameshikilia kura,ambayo huna,kuhusu nchi yao? We vipi? Ntakuzaba kofi we falashtuka!
 
Inakaa kama political assassination hiyo,,
huyo mwanamke ni smokescreen tu yakudivert the motive
 
Back
Top Bottom