Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
- Thread starter
-
- #601
Sasa hapa umeongea point mkuu.Mada hii ni ubora wa jeshi husika kwenye uwanja wa mapambano.Ndio maana nikaleta hii mada toka mwanzo
Naomba tuendelee kuchangia Kwa uhuru kabisa bila chuki kwa lengo la kuelimishana na kuburudishana
Lakini tukumbuke michango yetu halifanyi Idf au mossad kuwa Bora kama sio Bora
Pia michango yetu haiwezi kulidhoofisha Jeshi la Israel au Mosssd ikiwa ni bora
ukweli tutaendelea kushuhudia kwenye battlefield
Karibu uchangie na nimeyapokea maoni yako.Asante kwa ushauriMkuu hongera sana kwa mada hii Mimi ni miongoni naipenda kufuatilia mada za kijasusi na kijeshi
Isipokuwa nakushauri
kuwa mvumilivu wa kupokea mawazo ya wachangiaji ,naona unataka kuonyesha kwamba una uzoefu kwenye vita na kwamba kila unachoelezea umeshiriki,
Lakini ukweli ni kwamba vitu vingi umechukua kwenye maandiko mbalimbali kama sio vitabu,
Nimekufatilia muda mrefu unalazimisha mawazo unayotaka wewe
Acha watu wafunguke wasomaji watapima wenyewe
Pia ukishaweka mada kwenye hii forum inakuwa Mali ya Jf sio yako Tena so Kila member wa Jf ana uhuru wa kuchangia openly
Ahsante mkuu
Mzee said mohamed,mdogo wako nipo na sio busara ukabishana na wengine tuendelee na mada yetu.Kutofautiana hoja au mitazamo sio hoja.Ukweli utabaki kua wewe ni kaka mkubwa na mimi ni mdogo wako.Kuna maisha nje ya jamii forumNyamizi,
Sina chochote binafsi na yeyote hapa JF.
Wala sijuani na yeyote hapa JF.
Wala sijatunisha msuli.
Nguvu yangu ipo katika kalamu yangu.
Wewe ndiyo umeniandikia kuhusu Nelson na nimekujibu.
Karibu tuendelee kaka yangu na uwe na moyo wa kiume wa kupokea hoja pinzani na sio unakua emotional kihisia na kiroho kama watotoNina mada ya CCM pia kama chama bora na pendwa Afrika na dunia mzima.Karibu na kule uchangie mzee wanguNyamizi,
Nitaanza na hili la uvumilivu.
Hili linajijibu lenyewe ikiwa wewe uko muda mrefu hapa jamvini hivyo unanijua.
Ikiwa ni mgeni nakuomba rejea kwa yote Nelson aliyokuwa akiniandikia kuhusu ushiriki wangu katika Mwembechai, kushinikiza Tanzania iwe nchi ya Kiislam na kuingi OIC.
Soma majibu yangu kwake.
Kejeli.
Sijamkejeli.
Nimempa tahadhari ya maneno yake kuhusu "impersonation," kujifanya usichokuwa.
Hii ni jinai.
Huenda yeye hajui.
Jeshi tulilonalo sote tunalijua na baadhi ya wakuu wake ngazi za juu kabisa wengine tumesoma darasa moja na sasa ni wastaafu.
Halikadhalika katika huko kwengine ni hivyo hivyo.
Yeye anajinasibisha na vyombo hivi na kuandika uongo hadharani.
Aliyeleta picha yake nilimuuliza kaipataje.
Hapo ndipo mimi na wenzangu tulipovunjika mbavu.
Picha yake kaiweka hapa.
Ushauri wangu kwako.
Hii mara ya pili unakuja kwangu kumtetea.
Mwenyewe yuko kimya.
Unajua sababu yake?
Jambo zuri kumtetea.
Sasa zungumzanae.
Nelson kafungua uzi mpya Jukwaa la Siasa mada yake ni CCM.
Mimi sio mbishi au naharibu mada ila angalizo langu tangu mwanzo lilikua tusichangie kisiasa au kidini au kiitikadi.Bali tuchangie kama wachambuzi wa mambo ya kijeshi.Na ndio hiyo ilikua tofauti yangu kuu na kakangu na jirani yangu pia mzee said mohamedHii mada ilikuwa nzuri sana na ingekuwa uzi bora kuwahi kuandikwa ndani ya jf.
Lakini mleta mada ame uharibu kwa sababu kila ukichangia badala ajibu hoja za ulicho kiandika ana anza kukuambia eti sijui hujui chochote kuhusu jeshi kwa sababu ww sio mwana jeshi ila yy ndo anajua kwa sababu ni mwana jeshi.
Na ndio maana unaona watu uzi wameutelekeza.
Nitaendelea na jasusi 448.Nikujuze kidogo habari zakeNelson...
Hii si habari mpya yote hayo yanajulikana.
Vipi wewe unataka kueleza haya kama kitu kipya?
Tutaendelea na habari za kachero 448.Ucjali mzee wanguNelson...
Kama hujatambua...
Unajirudia sana...
"Tuendelee."
Karibu mchangie kijasusi na kiubora wa majeshi husika katika uwanja wa mapambano.Mkijadili kidini mtakwama na mtaishia kila mmoja kuvutia upande wake.Karibuni mchangie kama nilivyoleta mada.Na leo nitamjadili kachero namba 448 ambae picha yake moja ilipatikana enzi hizo akiwa jeshini.Lakini baadae alifanyiwa operasheni ya kumbadili sura mara kadhaa kuficha uhalisia wake na ubora wake kama mkufunzi wa majasusi wa IDF na nchi nyingine washirikaKiukweli chanzo kikuu Cha vita ya mashariki ya Kati imebase zaidi kwenye dini ,
Na ikumbuke kwamba taifa la Israel ndo ambalo Lina maeneo matakatifu ya dini kuu zote tatu ukristo uislam na uyahudi
Tukirejea kwenye mada tunajadili ubora wa Idf na Massod baada ya kuundwa kwa upya taifa la Israel 1948,
Tukianza kutaja na operesheni za nyuma tunakuwa hutuetendei haki Uzi huu ingawa hili jukwaa ni huru pia
IDF amefanya military missions nyingi kuzidi USArmy!? Kuliko RAF!?Katika medani za kivita IDF ndio jeshi bora zaidi kwa record za kukacover military missions duniani akiwa na washirika wake na katika kitengo cha ujasusi Mossad ndio wanaongoza positive plus katika mission zaidi ya 1000 akiwa na washirika wake!!!Mataifa mengine yanafeli wapi?
Upo sahii kwa maoni yako kaka na maswali yako ni ya msingi kabisa.Lakini mada inazungumzia ubora wa IDF katika uwanja wa mapambano na ubora wa Mossad katika operasheni zake akiwa washirika zake kama nilivyoletea mada.Nitakujibu baadae baadhi ya maswali yako.Lakini kwa sasa nitajadili zaidi kumuhusu kachero 448 wa Mossad.Karibu sana ndugu yangu trigaIDF amefanya military missions nyingi kuzidi USArmy!? Kuliko RAF!?
Na hizo military missions alizofanya ni za aina gani!? Rescue missions, peacekeeping missions, humanitarian military missions, military raids, military invasions au etc!? Na je wamefanikiwa vipi kwenye hizo mission zote. Success rate!?
Hapo kwenye hiyo list hizo mission nyingi za israel tuoneshe ziko wapi au labda kama una reference yako mbadala inayoonesha list ya military ops za IDF kuzidi mataifa mengine yote utupe.
Na tangu lini ubora wa jeshi ukapimwa kwa military missions!? Hii ni crietria mpya bila shaka lakini hata hvyo haimake sense. Mfano TPDf utasema ni jeshi bora kuliko Egypt kisa tu Tpdf wamehusika kwenye misheni nyingi kuliko!? Unataka kusema US ni dhaifu mbele ya TZ kwa sababu US alifeli owenye mission yake ya cuba (bay of pigs) wakati TZ walifaulu huko Comoro. Unaweza ukawa na utitiri wa misheni na bado ukawa mchovu tu.
Kwa mujibu wa global firepower ubora wa jeshi huzingatia vigezo muhimu zaidi ya 60
- Man power; popln, available manpower, fit for service, active personnel, active reserve, paramilitary, etc
- Equipments & technology; aircraft fleet strength, tank strength, naval fleet strength
- finaces; defence budget, xternal debt, ppp etc.
- logistics; airports, ports, etc
- Resources
- location
IDF ni moja ya majeshi bora lakini kusema ni bora zaidi duniani ni uongo wa mchana kweupe. Tusisahau pia mchango wa marekani na washirika wake kwenye jeshi la Israel
Mossad wamefanya ops zaidi ya elf moja duniani!? Kiko wapi chanzo cha hii taarifa!? Au mtu ukijiskia tu unaandika namba yeyote unayoitaka!? Yaani operation moja, mbili, tatu, ...kumi, ...mia moja mpaka elfu moja na zaidi. Duh! Huu pia ni uongo. Operation za mashirika ya kijasusi huwa ni siri (classified). Inakuwaje wewe uwe unazijua zote elf moja na zaidi!? Wewe ni Mossad!? Hata afisa wa Mossad mwenyewe hawezi kujua ops zote zinazofanywa na shirika lake maana nyingi zinafanywa kwa basis ya 'need to know' yaani unajua kile unachopaswa kujua. Labda kama wewe ni mossad mwenye highest level of clearence. Labda! Hii JF bwana kila mtu anaweza kuwa kila mtu.
NB: Hakuna namna yoyote unaweza kupima ubora wa shirika la kijasusi objectively.
Kumzungumzia kachero 448 hakuipi uzito mada yako kuhusu IDF kua jeshi bora zaidi duniani. Bado haujaitendea haki mada yako.Upo sahii kwa maoni yako kaka na maswali yako ni ya msingi kabisa.Lakini mada inazungumzia ubora wa IDF katika uwanja wa mapambano na ubora wa Mossad katika operasheni zake akiwa washirika zake kama nilivyoletea mada.Nitakujibu baadae baadhi ya maswali yako.Lakini kwa sasa nitajadili zaidi kumuhusu kachero 448 wa Mossad.Karibu sana ndugu yangu triga
Usiwe na haraka mkuu tunaendelea.Lakini kuna wadau wameniomba tumjadili kachero 448 afu tutaendelea.Mada inaendelea kua na amaniKumzungumzia kachero 448 hakuipi uzito mada yako kuhusu IDF kua jeshi bora zaidi duniani. Bado haujaitendea haki mada yako.
Ningependa kuona ukizungumzia vigezo ulivyotumia kuwarank IDF kama jeshi bora zaidi duniani. Tupatie na references ili tujiridhishe na tujifunze zaidi.
Huko unakoelekea sasa hivi, unatutoa nje ya mada!
Kwani waislamu ndio wavaa kobaz?Nelson...
Mbona naona tayari hapa Uislam umeshambuliwa kwa kuitwa, "Wavaa Kobazi?"
Mbona hapa naona Uyahudi umetamalaki?
Mbona hukutoa kauli yoyote?
Ikiwa hupendi kuona Uislam kwenye uzi wako si kitu.
Sitachangia chochote kwani kwangu kufanya hivyo ndiyo ustaarabu na uungwana.
Tadic,Kwani waislamu ndio wavaa kobaz?
Wavaa kobazi sio kejeli mzee wangu bali ni utambulisho.Sawa na mapadri kuvaa magauni ya kiume mzee wanguTadic,
Tuchukulie kuwa hakuwakusudia Waislam ila wengine.
Hili litakuwa jambo jema.
Au tuchukulie wewe ni mgeni wa kejeli hizi.
Itakuwa bora zaidi.
Waingereza wana msemo: "Ignorance is bliss."
Mzee said yupo emotional simulaumu.Malezi nayo yanachangia kuweza kukubali utofauti wa mawazo,imani,itikadi na ect...!!!Kwani waislamu ndio wavaa kobaz?
Wamepambana na Nani?? Hizbola na Hamas??? Apigane vita Ile ya Mano O Mano na nchi ilisimama vizuri. Achana na story za propaganda za kuwa fanya wao ni noma. Wamekaa hapo kwa kujifanya wamefuata bibble. If so mbona hawachukuo ardhi ya LEBANON maana wakipewa yote....according to Bible. Hawawezi sababu wanajua the effect ya vita ya nchi iliyojitosheleza. Utashinda but utapigika na wewe. Mara Mia sisi tuna record ya kumpiga NDULI.Karibu mjadala kaka ila mada tunazungumzia ubora kwenye uwanja wa mapambano
Karibu uchangie ila usiwe na mihemuko mkuuWamepambana na Nani?? Hizbola na Hamas??? Apigane vita Ile ya Mano O Mano na nchi ilisimama vizuri. Achana na story za propaganda za kuwa fanya wao ni noma. Wamekaa hapo kwa kujifanya wamefuata bibble. If so mbona hawachukuo ardhi ya LEBANON maana wakipewa yote....according to Bible. Hawawezi sababu wanajua the effect ya vita ya nchi iliyojitosheleza. Utashinda but utapigika na wewe. Mara Mia sisi tuna record ya kumpiga NDULI.