Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Qur'an si kitabu cha hadithi ni maneno ya Mungu, na Mungu kawambieni jikusanyeni dunia nzima nyie wakristo na wayahudi na majini me na sura ndogo sana ya Qur'an kama hi Ina Atwainaki Al Kauthar hamuwezi.Biblia propaganda ya Paulo myahudi na Qur'an propaganda ya Mudi mwarabu.......hapo ngoma droo mkuu 🤣🤣🤣 kwa nyie watu wenye dini zenu
View: https://youtu.be/r7PDME1t6GM?si=SSew1KNXn8It22dm