IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

Qur'an si kitabu cha hadithi ni maneno ya Mungu, na Mungu kawambieni jikusanyeni dunia nzima nyie wakristo na wayahudi na majini me na sura ndogo sana ya Qur'an kama hi Ina Atwainaki Al Kauthar hamuwezi.
Hakuna ushahidi....kama upo ulete au huyo mungu mlete adhibitishe mkuu
 
Qur'an si kitabu cha hadithi ni maneno ya Mungu, na Mungu kawambieni jikusanyeni dunia nzima nyie wakristo na wayahudi na majini me na sura ndogo sana ya Qur'an kama hi Ina Atwainaki Al Kauthar hamuwezi.
Hicho ni kitabu tu cha adithi za kiarabu na historia za waarabu na miungu yao ya kale ya kiarabu na tamaduni zao kuabudu nyota na mwezi... !!!
Mkuu
 
Hakuna ushahidi....kama upo ulete au huyo mungu mlete adhibitishe mkuu
Ushahidi wanini tena na dalili zipo wazi kabisa mwenye imani huwa hatishiki kufa kama nyie wavaa misalaba, mwenye imani huwa anamini duniani ni maisha mafupi tupi hata upewe umri wa miaka 950 kama Nabii Nuhu, hata Nabii Nuhu alipo ulizwa alijibu nikama vile kaingia chumbani na akatoka chumbani pale pale kwenye hio miaka 950, iwe we wakuishi miaka huzidi 100.

kule kwenye kaburi ndio kwenye maisha marefu ama uwende peponi au motoni

Huko ndio utafahamu msalaba na bibilia ya paulo ndio vilikupoteza .
 
Hicho ni kitabu tu cha adithi za kiarabu na historia za waarabu na miungu yao ya kale ya kiarabu na tamaduni zao kuabudu nyota na mwezi... !!!
Mkuu
Qur'an imetafsiriwa kwa lugha zote kama vile bibilia fake ya Paulo pia ilitafsiriwa ni wewe kutumia akili yapi ndio maneno ya Mungu na wapi maneno ya mtunga hadithi.
 
Ushahidi wanini tena na dalili zipo wazi kabisa mwenye imani huwa hatishiki kufa kama nyie wavaa misalaba, mwenye imani huwa anamini duniani ni maisha mafupi tupi hata upewe umri wa miaka 950 kama Nabii Nuhu, hata Nabii Nuhu alipo ulizwa alijibu nikama vile kaingia chumbani na akatoka chumbani pale pale kwenye hio miaka 950, iwe we wakuishi miaka huzidi 100.

kule kwenye kaburi ndio kwenye maisha marefu ama uwende peponi au motoni

Huko ndio utafahamu msalaba na bibilia ya paulo ndio vilikupoteza .
Leta ushahidi ulio wazi mkuu acha maneno.
Mlete huyo mungu na mlete huyo Muhammad tuwahoji.......acha maneno maneno yasiyo na usomi
 
Qur'an imetafsiriwa kwa lugha zote kama vile bibilia fake ya Paulo pia ilitafsiriwa ni wewe kutumia akili yapi ndio maneno ya Mungu na wapi maneno ya mtunga hadithi.
Ww unapondea imani za wayahudi afu unasifia imani za waarabu.
Mlete huyo Mungu wako wa kiarabu ili wqsomi tumuhoji acha adithi za kufikirika.
 
Ushahidi wanini tena na dalili zipo wazi kabisa mwenye imani huwa hatishiki kufa kama nyie wavaa misalaba, mwenye imani huwa anamini duniani ni maisha mafupi tupi hata upewe umri wa miaka 950 kama Nabii Nuhu, hata Nabii Nuhu alipo ulizwa alijibu nikama vile kaingia chumbani na akatoka chumbani pale pale kwenye hio miaka 950, iwe we wakuishi miaka huzidi 100.

kule kwenye kaburi ndio kwenye maisha marefu ama uwende peponi au motoni

Huko ndio utafahamu msalaba na bibilia ya paulo ndio vilikupoteza .
Nuhu ndio nani???
Leta ushahidi kama alikuwepo duniani mtu anaeitwa Nuhu.
Hizo ni adithi tu za kufikirika mkuu
 
Katika medani za kivita IDF ndio jeshi bora zaidi kwa record za kukacover military missions duniani akiwa na washirika wake na katika kitengo cha ujasusi Mossad ndio wanaongoza positive plus katika mission zaidi ya 1000 akiwa na washirika wake!!!Mataifa mengine yanafeli wapi?
Idf ni nini na mossad ni nini?
 
Hawa wapiganaji wa HAMAS sasa hivi hawavai sare.....bali wanavaa mabaibui na nguo za kiraia ili kuwakimbia wapiganaji wa IDF na mbinu kubwa wanayotumia ni kujificha kwa raia...na hawatoi idadi kamili ya wapiganaji wao waliokufa toka october 07 sababu ni aibu maana IDF wanawaua kwa kiwango cha juu mno.........wale raia wengi unawaona gaza wamekufa ni wapiganaji wa HAMAS waliovua nguo za kijeshi na kuvaa kiraia na kukimbilia kujificha kwenye wanawake na watoto na wazee na wengine walikua wanajificha hospitalini...mbinu ambayo IDF waliingamua
Screenshot_20240611-081246.png
 
Next time nitaelezea kwanini wapiganaji wa IDF wanavaa kofia za namna hii kwenye battle flied na kwanini wana uwezo mkubwa wa kupunguza majeruhi na vifo vya wanajeshi wao katika battle flied.......na nitaelezea kwanini nchi nyingi za kiarabu zinakuaga zinaficha idadi kamili ya wanajeshi wao waliokufa vitani pindi zilipokua zinapigana na wapiganaji wa IDF since 1948 up to 1982
Screenshot_20240611-081144.png
 
Screenshot_20240611-082504.png

Gaza hawaonekani hawa special unit tena....maana hali sio rafiki kwao na hakuna cease fire tena inayowapa mda wa kuregroup na kujipanga upya.
Huwaoni wakihojiwa na Al jazeera au Al arabiya au BBC.
Walichongamua vita sio propaganda show........so now wamekuja na mpango kazi mpya wa kujichanganya na raia na kuvaa kiraia.
Maana mpango kazi wa mwanzo wa kuchukua mateka haujafanya kazi ambayo waliamini ingesitisha mapigano na kubadilishana wafungwa............!!!
HAMAS waliingia kwenye mtego wa MOSSAD ambao walitoa taarifa feki kwa vikosi vya upelelezi vya HAMAS na kuwaruhusu wafanye mashambulizi yale....ili waingie mtegoni na IDF wapate sababu ya kuwashambulia wapiganaji wa HAMAS waliopo ukanda wa gaza.
 
Kichekesho! Kuna ka nchi kanajiona ni israel ya afrika ya kati, kanipiga mikwara wenzake wakubwa eti kanasea kako imara. Sasa kasijaribu kuichokoza nchi moja kubwa jirani yake na katajua kako imara kwa kiasi gani. Ile nchi kubwa jirani yake daima ina nguvu za kuwachakaza wachokozi, wawe wakubwa au wadogo kichapo kikubwa hupata
Kale ni kukatangaza kuwa mkoa.
 
View attachment 3014243
Gaza hawaonekani hawa special unit tena....maana hali sio rafiki kwao na hakuna cease fire tena inayowapa mda wa kuregroup na kujipanga upya.
Huwaoni wakihojiwa na Al jazeera au Al arabiya au BBC.
Walichongamua vita sio propaganda show........so now wamekuja na mpango kazi mpya wa kujichanganya na raia na kuvaa kiraia.
Maana mpango kazi wa mwanzo wa kuchukua mateka haujafanya kazi ambayo waliamini ingesitisha mapigano na kubadilishana wafungwa............!!!
HAMAS waliingia kwenye mtego wa MOSSAD ambao walitoa taarifa feki kwa vikosi vya upelelezi vya HAMAS na kuwaruhusu wafanye mashambulizi yale....ili waingie mtegoni na IDF wapate sababu ya kuwashambulia wapiganaji wa HAMAS waliopo ukanda wa gaza.
Nelson...
Kuna baadhi ya watu huona tabu kumsoma mwandishi anaenakili mambo yaliyoandikwa na watu wengine akayakusanya akawaandikia watu wengine.

Kama ni "assignment," mwalimu kakupa chuoni ufanye basi utakuwa umefeli.

Atakupa alama C au pengine F.

Ati unataka utueleze nani Mossad nani IDF.

Wewe utueleze kama nani?

Nani dunia hii asiyewajua Mossad na IDF?

Umri wa taasisi hizo ni sawa na umri wa Israel yenyewe.

Nani anahitaji kusomeshwa kuhusu taasisi hizo?

Kwa nini mtu asiingie Google kusoma hayo?

Dunia hii ya leo uhitaji kumuuliza mtu chochote.

Nasikitika kuwa hili hulijui lakini unatuandikia hapa kama vile wewe ni mjuzi unataka kusomesha.

Huwezi kuwa mjuzi ukafundisha kwa nakala ya kalamu ya mtu mwingine.
 
Katika medani za kivita IDF ndio jeshi bora zaidi kwa record za kukacover military missions duniani akiwa na washirika wake na katika kitengo cha ujasusi Mossad ndio wanaongoza positive plus katika mission zaidi ya 1000 akiwa na washirika wake!!!Mataifa mengine yanafeli wapi?
 

Attachments

  • IMG_20240616_203725.jpg
    IMG_20240616_203725.jpg
    60.2 KB · Views: 3
Back
Top Bottom