IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

Nelson...
Unanishangaza.
Ikiwa wewe tayari una imani yako Mungu ndiye unae toka alipokuumba.

Sasa kuwatafuta hao waungu wengine si utamuudhi mungu wako?

Kwani waungu wako wengi?
Mzee wangu mpendwa siwatafuti ila nafanya utafiti kuhusu wao.
Nipatie kitabu nilichokuomba CHA AL AZIF kama unacho mzee wangu
 
Jeshi bora linashambuliwa kwake na silaha za kizamani za vita ya pilli ya dunia watu wanaruka na parachuti wanashambulia kisha wanaondoka na mateka jeshi bora limelala.

Teh teh teh
 
Jenerani wa Jeshi Bora la Israel amchomolewa chumbani na boxer na Wanamgambo wa Hamas [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Jeshi bora linashambuliwa kwake na silaha za kizamani za vita ya pilli ya dunia watu wanaruka na parachuti wanashambulia kisha wanaondoka na mateka jeshi bora limelala.

Teh teh teh
Mkuu unajua kitu kinaitwa suprise attack??? Hata majeshi ya marekani na urusi yanafanyiwa surprise attacks na watu wao wanauliwa na kuchukuliwa mateka ila haiondoi ubora wa majeshi yao.
Hata mwaka 1973 walishambuliwa hivyo hivyo na majeshi ya nchi nne ambazo ni Misri na Syria na Iraq na walishinda.
Kama IDF ni jeshi dhaifu mbona waarabu wameshindwa kuwamaliza wayahudi.
Na kama huamini waulize waarabu watakuambia ubora wa IDF
 
Jenerani wa Jeshi Bora la Israel amchomolewa chumbani na boxer na Wanamgambo wa Hamas [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2788091View attachment 2788092
Mkuu hizo propaganda tu na unaweka picha za raia waliotekwa.
Lakini haibadilishi Ubora wa IDF.
Na kama huamini ebu tafuta picha pia za maiti za wapiganaji wa hamas katika counter offensive ya IDF.Mimi sio shabiki wa kidini bali mzoefu wa mambo ya uwanja wa vita kama mwandishi mbobefu na sio shabiki asiye na elimu au taaluma ya anachoandika kama mwandishi wa habari
Kuteka raia 250 na kuua watu 1400 sio kielelezo cha ubora wa hamas.Bali ubora wa hamas utapimwa kwa kufanikisha lengo lao la kuwaua wayahudi wote na kuwafanya watumwa wa waarabu.
NB:Tuwekee na picha za maiti za wapiganaji wa hamas katika counter offensive ya IDF.
 
Jeshi bora linashambuliwa kwake na silaha za kizamani za vita ya pilli ya dunia watu wanaruka na parachuti wanashambulia kisha wanaondoka na mateka jeshi bora limelala.

Teh teh teh
Vp mkuu unajua kitu kinaitwa ingia mkenge ulie lie.......sasa waarabu wa gaza wameingia mkenge
 
Sadat alikua na akili sana kuomba cease fire na IDF 1973.....baada ya wanajeshi wake kufanyiwa siege na kikosi cha makomandoo wa kamanda Ariel Shalon....."""Arab butcher"""kama anavyoitwa na waarabu
 
Jeshi bora linashambuliwa kwake na silaha za kizamani za vita ya pilli ya dunia watu wanaruka na parachuti wanashambulia kisha wanaondoka na mateka jeshi bora limelala.

Teh teh teh
Kama IDF wasingekua bora katika kulinda aridhi ya mababu zao.....waaarabu na waturuki na mahasimu wao kisiasa......wangewafanyia kama walivyowafanyia.....wayazidi,wakurdi,na waarmenia na watu wa alibania na wabosinia.
 
Kama IDF wasingekua bora katika kulinda aridhi ya mababu zao.....waaarabu na waturuki na mahasimu wao kisiasa......wangewafanyia kama walivyowafanyia.....wayazidi,wakurdi,na waarmenia na watu wa alibania na wabosinia.
IDF ni bora mashariki ya kati tu pale...Semi-regional power.Kwa sasa inasumbua na makundi ya watu wals hata sio nchi (formidable).Warfare imebadilika sana miaka ya karibuni..unaweza kuwa superpower nchi ndogo tu ikakuweka chini..
Israel mpaka akutane na ngoma nzito ndo tutampima...mfano wazichape na Iran kavu kavu ndo tutajua
 
Almost hizo nchi zote za waarabu wa region yake kashapigana nazo.......indirect or directly...!!!!
Kua bora sio super power bali timing.
Mada yangu ilijikita kwenye ujasusi uliofanikisha misheni za IDF
 
Almost hizo nchi zote za waarabu wa region yake kashapigana nazo.......indirect or directly...!!!!
Kua bora sio super power bali timing.
Mada yangu ilijikita kwenye ujasusi uliofanikisha misheni za IDF
Ila nataka siku wafanye jambo na nchi ambayo sio ya kiarabu,,,,,,,,.....waarabu hawajielewi hao watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…