Huoni hata haya? Mwezi wa ngapi leo?Hao wanakula kichapo kila siku....hadi wanavua sare za jeshi....na kuishia kujificha kwa wanawake na watoto.....wameingizwa mkenge October 07.......waturuki waliwapatia intelijensi feki.........🤣🤣🤣
Mkuu tuliza munkari......sio lazima watu wote wafuate mapokeo ya kiarabu....!!
Wengineo wameamua kufuata mapokeo ya wayahudi.
Tuliza munkari sheikh Jagina.
Bibi haya gani........watu wanachapika taratibu.....ili dozi iwaingie.Huoni hata haya? Mwezi wa ngapi leo?
😂😂😂MKUU YESU NDIO NANI????WEWE NI MBWA TU NA NGURUWE ANASEMA YESU
The Interpreter's Bible, sahifa 441 jalada VII ambamo imeandikwa hivi:
"Yaonekana wazi kuwa Yesu hakika aliamini kuwa ujumbe wake kwanza na hasa ni kwa watu wake mwenyewe."
Ndio maana alisema:
Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.
Mathayo 7.6
Mbwa na nguruwe ni watu wa mataifa yasiyokuwa wana wa Israili.
Ukristo haufai kufundishwa watu wo wote isipokuwa Mayahudi.
Hayo ndiyo mawazo ya Yesu, au ya hao walioandika Injili na wakatia maneno hayo kinywani mwa Yesu.
Nasikia gaza sasa hv waarabu wanauana kugombea chakula cha makafiri 🤣🤣🤣🤣.Huoni hata haya? Mwezi wa ngapi leo?
COHEN......WARAABU MPAKA LEO WALIUSHIKILIA MWILI WAKE....WAKAKATAA KUUACHIA.....MOJA YA WATU BORA KABISA WA MOSSADKuna huyo Jonathan Netanyahu alafu kuna mwamba anaitwa eli cohen alijipenyeza kwenye serikali ya Syria akijifanya mfanyabiashara na kuweka ukaribu na viongozi wa ulinzi mpka raisi wa Syria akataka kumteua kuwa waziri wa ulinzi
Mwaka 1965 akastukiwa na mkuu wa polisi baada ya kugundulika signal za simu akiwasiliana na mossad huko nchini israel hatimae anakamatwa na kunyongwa hadharani
Mchango wake unakumbukwa kwani alipokuwa syria alipanda miti kwenye mstari juu ya kambi zilizokuwa chini ya ardhi huko syria ambayo ilikuja kutumika kama ishara kwa wanajeshi wa israeli na kushinda vita ya mwaka 1967 iliyoitwa SIX DAYS WAR Iliyokuwa dhidi ya mataifa kadhaa ya kiarabu
Alikuwa fluent kwenye kiarabu na lugha nyingine kadhaa
Hapajawah kutokea spy kama huyu mossad ambaye aliivua nguo serikali ya syria
Kuna movie inaitwa THE SPY imebase kwenye true story inaweza kukupa mwanga wa huyu mwamba na mkewe bado yupo hai japo kazeeka na bado anafuatilia kurudishiwa mwili wa mumewe kutoka syria jambo ambalo bado ni gumu
Tazama waliokudanganya kuwa ni wajomba wa mungu wako wanavyochezea kichapo:Bibi haya gani........watu wanachapika taratibu.....ili dozi iwaingie.
Wewe si ulikua unashangilia October 07 waarabu wa hamas walivyoingizwa mkenge na Mossad???
Bas tulia dawa iwaingie waarabu wa Gaza strip....ili wawe na adabu.
MKUU HAYO MANENO HUJAANZA KUSEMA WEWE TU.....HUKO NYIMA WALISEMA WAARABU WOTE NA WAKAUNGANA ZAIDI YA MARA TANO.....ILA KILICHOWAKUTA WANAJUA....Hakuna jeshi la ovyo Kama la Israel. Mwezi wa sita huu wanapiga wanawake na watoto huko Gaza.
Imagine Kama waarabu wa gaza (Hamas) wangejua na silaha walizonazo Israel unadhani pangekalika.? Imagine waarabu nao wangejua na chakula na maji na Israel isingesaidiwa na wamarekani na wahindi unadhani kungekua na kitu inaitwa Israel Leo hii?
Bibi acha kujifariji....na propagandas.....wenzio wanalia huko gaza kichapo daily...afu wewe upo nchi ya makafiri canada unakula soseji za MacDonald...😂😂😂Tazama waliokudanganya kuwa ni wajomba wa mungu wako wanavyochezea kichapo:
View: https://youtu.be/9RVR94eSw1w?si=9u11DYNLTj3XcOdf
MKUU WEWE SASA UNAWAPANGIA CHA KUFANYA....IDF HAINA HAJA NA MATEKA 132....YENYEWE INA HAJA NA KUUA WAARABU ELFU 50 ILI WAHESHIMIANE......NDIO MAANA WAARABU WA HAMAS WANAVUA MAGWANDA NA KUKIMBILIA KUJIFICHA NYUMA YA WANAWAKE NA WATOTO HUKU WAKILILIA CEASE FIRE......NA DOZI NI TARATIIIBU MWAKA MZIMA ILI IWAINGIE VIZURIIDF ilipewa sifa hewa,wameshindwa kabisa kukomboa mateka mwezi wa 6!
Mzee kusema kweli....mm wewe kwangu ni mazalia ya wanafunzi wa wakoloni......elimu yako ni ya wakoloni wa kiarabu na kizungu.Hata hizo paper zako unawasifia wakoloni tu wa kizungu na kiarabu waliokupa elimu zao....ndio maana napata ukakasi na kauli zako mzee wangu.Nelson...
Itakubidi usome paper niliyotoa University of Ibadan 2006 ndipo utanielewa.
Kwa kujiandikia tu ilhali hunijui.
Matatizo.
Halikadhalika usome mhadhara niliofanya State University of Zanzibar (SUZA) na Centre for Foreign Relations, Kurasini Dar es Salaam.
Naamini unaona tofauti iliyopo baina yetu.
Kalamu yangu inafika mbali na kwingi.
Kumbe huna unalolijuwa. Watu wamelia kwa miaka 75 iliyopita, sasa hivi wako kwenye furaha ya ushindi;Bibi acha kujifariji....na propagandas.....wenzio wanalia huko gaza kichapo daily...afu wewe upo nchi ya makafiri canada unakula soseji za MacDonald...😂😂😂
Hiyo tunaita ARABS AND MUSLIMS CHEAP PROPAGANDA AGAINST JEW'S.....BUT WE DONT BUY ITHuwa sikisii.
Israel Occupation Forces.
Wewe jifariji na propaganda za you tube.....muulize marehemu Sadat au marehemu Arafat atakuambia ubora wa IDF na MossadKumbe huna unalolijuwa. Watu wamelia kwa miaka 75 iliyopita, sasa hivi wako kwenye furaha ya ushindi;
View: https://youtu.be/DcoGGlDQ6ws?si=Xp_FYemxP-EbzEXU
Wewe muisrael wa buza ndio unasema hayo,ila malengo yaliyotangazwa wakati IDF wanaivamia Gaza,mojawapo ni kukomboa mateka!MKUU WEWE SASA UNAWAPANGIA CHA KUFANYA....IDF HAINA HAJA NA MATEKA 132....YENYEWE INA HAJA NA KUUA WAARABU ELFU 50 ILI WAHESHIMIANE......NDIO MAANA WAARABU WA HAMAS WANAVUA MAGWANDA NA KUKIMBILIA KUJIFICHA NYUMA YA WANAWAKE NA WATOTO HUKU WAKILILIA CEASE FIRE......NA DOZI NI TARATIIIBU MWAKA MZIMA ILI IWAINGIE VIZURI
Sawa mwarabu wa tegeta 😂😂😂.....haya nenda IDF HEAD KOTA......WAAMBIE KIPAUMBELE CHAO NI KUOKOA MATEKA NA SIO KUUA WAARABU.Wewe muisrael wa buza ndio unasema hayo,ila malengo yaliyotangazwa wakati IDF wanaivamia Gaza,mojawapo ni kukomboa mateka!
Wewe endelea kubumba ya kwako na kufurahusha genge!
Huko Israel maandamano kila siku baada ya kuona mission ya kuokoa mateka kwa nguvu imefeli,sasa wanaitaka serikali yao kuingia makubaliano na Hamas ili mateka waachiwe!
Au tukuamini wewe😂😂
Endelea kukaza mishipa!Sawa mwarabu wa tegeta 😂😂😂.....haya nenda IDF HEAD KOTA......WAAMBIE KIPAUMBELE CHAO NI KUOKOA MATEKA NA SIO KUUA WAARABU.
NB: MIMI NIPO BUZA KWA MAMA KIBONGE NAKUSUBIRIA UNIPE JIBU
Mkuu nikaze mshipa wapi......uzi wangu ni kuhusu ubora wa IDF na MOSSAD......waarabu wa hamas waliingizwa mkenge na makachero wa kituruki October 07.........wakajaa kwenye mitego ya MOSSAD......sasa hv wanakula dozi taratibu.......mpaka inafikia hatua wanavua magwanda ya kijeshi.....na kukimbilia kujificha kwa wanawake na watoto 😂🤣🤣🤣🤣.Endelea kukaza mishipa!
Financial times:
Since the start of the war in Gaza, Israel’s armed forces have pursued their twin objectives — “dismantling” Hamas rule in the territory and rescuing all remaining Israeli hostages seized by the group — with ferocity and determination.Three months on, however, many in Israel, including Gadi Eisenkot, a member of the war cabinet, have begun to question whether either or both of those aims can be achieved.Michael Milshtein, a former Israeli intelligence officer and expert on Palestinian affairs, said Israel faced a dilemma. “We’ve reached a T-junction: either you reach a full deal [with Hamas for the hostages] and withdraw, or you go for the full toppling of the Hamas regime and the conquest of all of Gaza,” he said. “You need to choose.