IDF waanza kutoa ushahidi unao onyesha wanahabari wa Al Jazeera walikua magaidi yenye mlengo wa kidini

IDF waanza kutoa ushahidi unao onyesha wanahabari wa Al Jazeera walikua magaidi yenye mlengo wa kidini

Nasikia israhell washaitwaa ghaza kwasasa
Na hamas imeishakwisha futika huko ghaza

Israhell ukiisikia kwa wazayuni wa jf kina wewe na shosti zako unaweza ukadhania hawa watu hawafi yaani😀🤣😀

Au wakipigwa shaba zinadunda puwa holiwudi
Una maswali yangu hujajibu
 
20240111_074417.jpg
 
Wana habari walijificha kwenye mgongo wa uanahabari huku wakifanya yao, ila hawakujua siku zao zilihesabika...

Military claims documents found in Strip reveal pair working for Al Jazeera were members of Hamas, Islamic Jihad, and ‘actively involved in attacks’​

The Israel Defense Forces on Wednesday two said two men identified as Al Jazeera journalists who were killed in a strike in southern Gaza’s Rafah earlier this week were members of terror organizations in the Strip.

In Sunday’s strike in Rafah, Hamza Wael Dahdouh, the son of Al Jazeera’s Gaza correspondent Wael Dahdouh, and Mustafa Thuria, a video stringer for AFP who was also working for the Qatar-based TV outlet, were both killed. A third journalist, Hazem Rajab, was seriously wounded, Al Jazeera said.

The strike was carried out after the IDF said it spotted a terror operative piloting a drone in a way that endangered Israeli forces, and subsequently hit a car they were in.

View: https://twitter.com/idfonline/status/1745158775567175764?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1745158775567175764%7Ctwgr%5E1d1bef5560c672b00eb4de42f7e32120868b8dee%7Ctwcon%5Es1_&ref_url=https%3A%2F%2Fwww.timesofisrael.com%2Fidf-appears-to-walk-back-claim-journalists-killed-in-gaza-were-in-car-with-terrorist%2F

Mnasubiri IDF na MOSSAD watoe wakati kila kitu kipo wazi?
PONDA na Mazuzu wenzie waliotaka kuandamana kuunga mkono magaidi wa kiislamu wa Palestina ulishaona wakiandamana kupinga kuuwawa kwa wakristo huko Nigeria, Sudan na kwendineko?
 
Wewe ndio mpumbavu na walio kuzaa pia ŵapumbafu shenzi type.

Eti Israel kaifuta Gaza kuvunja majumba ndio kuifuta na je kavunja majumba yote Gaza.

Eti kahamisha kichapo Lebanon we unaishi Israel? Nenda katazame hospital za Israel zinavyo jianda kapokea vilema, zinangojea kipigo cha Hezbullah kina kuja

Israel akapige Iran 😄 kichaa kweli wewe ikiwa Hamasi kaishindwa
Anambembeleza Qatar awasaidie vita isimame we huoni mpa anasingizia Qatar ni magaidi tv zao na kiongozi wao ili Qatar wawahi kuwapatanisha 😄

Israel yuko tayari kukubali masharti ya Hamasi hizo kelele zenu hapo ni propoganda tu za Israel hana alicho fanya zaidi ya kuvunja majumba, watoto, wanawake na raia wakawaida tu wa Gaza, na kabahatika kuwauwa viongozi wa Hamasi, tena sio yeye aliye wauwa Inasemekana ni America.
Wewe bro sijui ni kutokujua? Au udini umekupofusha! Ukiona watu wanapanga namna ya kukutawala ujue hiyo vita umeshindwa. Kwenye maswwla ya vita nadhani watu hawajui nini maana ya kufuta. Ukisika kufuta ni kuvjnja uti wa mgongo wa jeshi husika, uti wa mgongo ukishavunjwa jeshi au kikundi chochote si kwamba kimefutwa bali kimesambaratishwa , wapiganaji wanaweza kuwa wapo lakini hawana muunganiko wenye nguvu, na wanaweza kuwa wanaua pia. Kuifuta hamasi isiwepo kwenye mioyo ya watu wa gaza ni ngumu, lakini kuuvunja uti wa mgongo wa hamasi umevunjwa na unaendelea kuvunjwa. Hayo majumba unayosema yanavunjwa ndiyo uimara wa gaza economy, watu hawafanyi kazi , magonjwa yameingia, hawana maji ya kunywa, hosp hakuna inayofanya kazi japo kwa kiwango cha 20 asilimia, ngome au maficho yameangamizwa. Ndg vita siyo ushabiki wa kidini . Wapalestina wachache au wengi waliopo huko nje ya gaza wanajitahidi kuleta habari za uongo,tofauti na hali halisi ya gaza. Ni kweli kwa hali kama ilivyo gaza kutiana moyo ni muhimu , lakini si kwa kiwango kikubwa cha ujinga kama ilivyo humu jf. Haiwasaidii chochote wamama wanapoteza watoto wao huko gaza , ushabiki wa kidini mnaofanya humu jf. Watu mia mbili wanakufa kwa siku ! Nyinyi mnaleta ushabiki wa kidini. Aliyeshindwa vita hakalii ardhi ya adui bali aliyeshindwa hushambulia kwa kuvizia tena akiwa katika mavazi ya kiraia. Iweni na akili.
 
We ni mpumbavu,na unastahili kuwa mpumbavu.
Hamas wako dunia nzima kwa mgongo wa ukimbizi,ndio hao wana muda wa kupiga propaganda..
Walioko Gaza ni War zone hamna muda hata wa kukaa na simu kuandika.
Wanatuma video na picha kwa ndugu zao huko nje ndio wapublish.
Ila kule Ghaza Muiziraili kashafuta wote ndo mana amehamisha kichapo Lebanon.
Na Iran anasubiri.
Hizo nuke mnasema muiran anazo ndo zitalipuliwa kwanza
Ndio kipigo kiendelee.


Usisahau maneno ya Bwana Yesu


1704954283927.jpeg
 
Ushahidi mwingi wa Israel ktk hii vita ni feki.

Wamewahi kutoa majina ya siku katika kalenda ya kiarabu wakasema hayo ni majina ya Members wa HAMAS

propaganda ya 40 beheaded babies nayo ilikuwa feki.

Juzi gazeti moja lilitoa taarifa ya ubakaji wa wanawke siku ya october 7, Mama mzazi wa mmoja aliyetajwa ktkhilo gazeti kuwa mwanae alibakwa akaja juu akasema mawanae hakubakwa.

Kwa hiyo Israel ni waongo waongo, hakuna wa kuwachukulia serious!
 
Wana habari walijificha kwenye mgongo wa uanahabari huku wakifanya yao, ila hawakujua siku zao zilihesabika...

Military claims documents found in Strip reveal pair working for Al Jazeera were members of Hamas, Islamic Jihad, and ‘actively involved in attacks’​

The Israel Defense Forces on Wednesday two said two men identified as Al Jazeera journalists who were killed in a strike in southern Gaza’s Rafah earlier this week were members of terror organizations in the Strip.

In Sunday’s strike in Rafah, Hamza Wael Dahdouh, the son of Al Jazeera’s Gaza correspondent Wael Dahdouh, and Mustafa Thuria, a video stringer for AFP who was also working for the Qatar-based TV outlet, were both killed. A third journalist, Hazem Rajab, was seriously wounded, Al Jazeera said.

The strike was carried out after the IDF said it spotted a terror operative piloting a drone in a way that endangered Israeli forces, and subsequently hit a car they were in.

View: https://twitter.com/idfonline/status/1745158775567175764?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1745158775567175764%7Ctwgr%5E1d1bef5560c672b00eb4de42f7e32120868b8dee%7Ctwcon%5Es1_&ref_url=https%3A%2F%2Fwww.timesofisrael.com%2Fidf-appears-to-walk-back-claim-journalists-killed-in-gaza-were-in-car-with-terrorist%2F

Hakuna kifo hakina ushahidi na Israel wapo vizuri kwenye hili na maadui zao wanajuwa ukweli.
 
aisee ni bonge la tegoo mazee dah..hapa mpalestina kakosea njiaa kwa myahudiiii...unabeba kasabuni ka kijanii alf baadae unapakwa matee hataree na yahudis...
View attachment 2867974
Akili zenu zipo kwenye mavi tu mimi huwa sishangai kuona mkiosha choo kwa sabuni na maji laki mavi yenu mnatumia toilet paper ili mgando ubaki unatembea nao 😄
 
Wana habari walijificha kwenye mgongo wa uanahabari huku wakifanya yao, ila hawakujua siku zao zilihesabika...

Military claims documents found in Strip reveal pair working for Al Jazeera were members of Hamas, Islamic Jihad, and ‘actively involved in attacks’​

The Israel Defense Forces on Wednesday two said two men identified as Al Jazeera journalists who were killed in a strike in southern Gaza’s Rafah earlier this week were members of terror organizations in the Strip.

In Sunday’s strike in Rafah, Hamza Wael Dahdouh, the son of Al Jazeera’s Gaza correspondent Wael Dahdouh, and Mustafa Thuria, a video stringer for AFP who was also working for the Qatar-based TV outlet, were both killed. A third journalist, Hazem Rajab, was seriously wounded, Al Jazeera said.

The strike was carried out after the IDF said it spotted a terror operative piloting a drone in a way that endangered Israeli forces, and subsequently hit a car they were in.

View: https://twitter.com/idfonline/status/1745158775567175764?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1745158775567175764%7Ctwgr%5E1d1bef5560c672b00eb4de42f7e32120868b8dee%7Ctwcon%5Es1_&ref_url=https%3A%2F%2Fwww.timesofisrael.com%2Fidf-appears-to-walk-back-claim-journalists-killed-in-gaza-were-in-car-with-terrorist%2F

Hawa mbwa siyo wa kuwasikiliza.

Walimuua Abu Sherin akiwa kashika mic tu mkononi, tena mbele ya camera watashindwa nn kuua na kupakazia uongo?
IDF ni magaidi
 
Dini za wakoloni umletewa na huna uhakina nayo "unaita ndugu zako, mama zako, wakwe zako, wanao kupigia dada yako " kafiri.
#Dini Utumwa.
Imani yako mpaka elimu umeletewa una nn cha maana ngozi nyeusi wewe!?
......Hauna conscious kiasi hicho we ni mtumwa mpaka unakufa ..
 
We ni mpumbavu,na unastahili kuwa mpumbavu.
Hamas wako dunia nzima kwa mgongo wa ukimbizi,ndio hao wana muda wa kupiga propaganda..
Walioko Gaza ni War zone hamna muda hata wa kukaa na simu kuandika.
Wanatuma video na picha kwa ndugu zao huko nje ndio wapublish.
Ila kule Ghaza Muiziraili kashafuta wote ndo mana amehamisha kichapo Lebanon.
Na Iran anasubiri.
Hizo nuke mnasema muiran anazo ndo zitalipuliwa kwanza
Ndio kipigo kiendelee.
Duhh,lione JINGA litakatifu liyahudi hili

Upo usingizini eeeh??
 
😄 Israel lazima atabandika chochote ili aonekane uwaji wake ni halal, haya atuonyeshe akina Sherin yule mtangazaji wakike al jazeera aliye muuwa pia alikuwa askari?

Kashindwa kuzuia Hamasi anavyo penya mpaa kwenye simu zao akakamate document za Saraya Al Quds 😄

Poleni Waziri wa Jeshi wa America ana cancer enhee 😄 Huyo yuko mbinguni kwa Yesu, dhambi zake kisha chukua Yesu 😄 Warusi wameisha mmaliza kule Ukraine kwa kipigo kimoja tu cha Missile

Wakristo vichaa nyie Yesu ni Mungu afu hapo hapo Mungu wenu ndio anajichoma moto kwa ajili yenu nyie😄
Pole kwa msongo wa mawazo!
 
😄 Israel lazima atabandika chochote ili aonekane uwaji wake ni halal, haya atuonyeshe akina Sherin yule mtangazaji wakike al jazeera aliye muuwa pia alikuwa askari?

Kashindwa kuzuia Hamasi anavyo penya mpaa kwenye simu zao akakamate document za Saraya Al Quds 😄

Poleni Waziri wa Jeshi wa America ana cancer enhee 😄 Huyo yuko mbinguni kwa Yesu, dhambi zake kisha chukua Yesu 😄 Warusi wameisha mmaliza kule Ukraine kwa kipigo kimoja tu cha Missile

Wakristo vichaa nyie Yesu ni Mungu afu hapo hapo Mungu wenu ndio anajichoma moto kwa ajili yenu nyie😄
Hahaha wamechanganyikiwa ushahidi wasuburi kesi ya South Africa wasiwe na haraka🤣
Akili zenu zipo kwenye mavi tu mimi huwa sishangai kuona mkiosha choo kwa sabuni na maji laki mavi yenu mnatumia toilet paper ili mgando ubaki unatembea nao 😄
🤣🤣🤣
 
😄 Israel lazima atabandika chochote ili aonekane uwaji wake ni halal, haya atuonyeshe akina Sherin yule mtangazaji wakike al jazeera aliye muuwa pia alikuwa askari?

Kashindwa kuzuia Hamasi anavyo penya mpaa kwenye simu zao akakamate document za Saraya Al Quds 😄

Poleni Waziri wa Jeshi wa America ana cancer enhee 😄 Huyo yuko mbinguni kwa Yesu, dhambi zake kisha chukua Yesu 😄 Warusi wameisha mmaliza kule Ukraine kwa kipigo kimoja tu cha Missile

Wakristo vichaa nyie Yesu ni Mungu afu hapo hapo Mungu wenu ndio anajichoma moto kwa ajili yenu nyie😄
Mafarisayo huwa mna tabu sana sasa Yesu anahusika wapi hapa??? Mada ni tofauti na jibu

Yesu atabaki kuwa Yesu na ndie Masihi, mwamba imara, mwokozi wa ulimwengu na hakuna linaloshindikana kwake.
 
Back
Top Bottom