Wewe ndio mpumbavu na walio kuzaa pia ŵapumbafu shenzi type.
Eti Israel kaifuta Gaza kuvunja majumba ndio kuifuta na je kavunja majumba yote Gaza.
Eti kahamisha kichapo Lebanon we unaishi Israel? Nenda katazame hospital za Israel zinavyo jianda kapokea vilema, zinangojea kipigo cha Hezbullah kina kuja
Israel akapige Iran 😄 kichaa kweli wewe ikiwa Hamasi kaishindwa
Anambembeleza Qatar awasaidie vita isimame we huoni mpa anasingizia Qatar ni magaidi tv zao na kiongozi wao ili Qatar wawahi kuwapatanisha 😄
Israel yuko tayari kukubali masharti ya Hamasi hizo kelele zenu hapo ni propoganda tu za Israel hana alicho fanya zaidi ya kuvunja majumba, watoto, wanawake na raia wakawaida tu wa Gaza, na kabahatika kuwauwa viongozi wa Hamasi, tena sio yeye aliye wauwa Inasemekana ni America.