IDF yaandika historia tena, ndege zake 100 zasambaratisha kambi za Hezbollah, walikuwa wanajiandaa kuishambulia Israel

Zote hizi ni direct hit targets za hizbo tuu sijajumuisha hamas, westbank na kambi ya Iraq ili mujue waislam sio magaidi wazayuni ndio magaidi yenyewe waislam wanapiga kambi za jeshi tu na maeneo ya jeshi kwakua wanajua wataulizwa na mwenyewe muumba
Hamas sio waislam?
 
Kwani umesahau zilivyoelea anga la kwa akina Hezbollah?Zilikua ngapi?
Ndege 100!?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Huwezi ukawa na utimamu wako kaka.
Samahani kwa hii kauli ila hauko katika utimamu wako.
Unajua ndege moja inabeba mabomu uzito kiasi gani!?
Hiyo Gaza tu yote imegeuzwa kifusi kwa ndege zisizozidi 20.
Leo hii kaeneo kadogo walipoweka kambi Hizbollah pashambuliwe na ndege 100!??
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Hilo eneo litakua limekula vilipuzi vinavyokaribia na Gaza combined na vilipuzi vingine.
 
Usijali ndugu yangu. Nakuelewa.
 
Ndugu 100IAF ni aina ya ndege za kivita na sio ndege 100.

Operation ya ndege 100 ni nyingi sana kwa Israel kurisk.
 
 
Kwa akili za kawaida 100 jets sio za kudeploy hapo.
Ndio maana REUTERS wameandika "inasemekana",unafahamu maana ya "inasemekana"?
Na nimekuletea habari ya reuters aliyeanza kushambulia ni HIZBOLLAH alfajiri ndio baada ya hilo shambulio Israel ikalipiza kwa kudai imeshambulia kwa ndege 100.
Soma reuters hapo chini.
Ni mjinga tu atakayekubali ndege 100 zimeshambulia Hizbollah.
 
Huu sasa ni uwehu, kila mtu anasema yeye ndio kampiga mwenzake.

Huu ni uwendawazimu au?
Wasome reuters hao mkuu.
Reuters ni chombo cha wazungu westerners.
Wamesema aliyeanza kushambulia ni Hizbollah wakati wa asubuhi sana.
Baada ya hilo shambulio ndio Israel ikalipiza kwa preemptive strike.
 
Mkuu tupatie taarifa sahihi tafadhali
 
Waongo hao eti Hezbullah karusha missiles 6000 jana na ndege zao zime vunja launcher nying, kabla hazijarusha missiles, nani atamini haya unless awe kichaa.

Watuonyeshe hizo Missile na launcher walizo piga.

Kipigo kina kuja leo au kesho kingine huko Israel vitu vilikuwa vikiteremka tu kiulaini, wame intercepted badhi ya missiles lakini nyingi zimepiga target πŸ’―
 
Afu Hezbullah anasema Israel ni waongo hakuna hata launcher walizo piga wamerusha 320+ Missiles tena nyingi zimepiga target πŸ’― katika camp 11 za Israel.


View: https://youtu.be/ih795PvkQlw?si=r9m88TCvBtmrSRCZ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…