IDF yaandika historia tena, ndege zake 100 zasambaratisha kambi za Hezbollah, walikuwa wanajiandaa kuishambulia Israel

IDF yaandika historia tena, ndege zake 100 zasambaratisha kambi za Hezbollah, walikuwa wanajiandaa kuishambulia Israel

Ndege 100 kwa Israel kitu gani mzee. Mbona mwaka 1967 Israel iliharibu ndege zaidi ya 250 za Misri kwa usiku mmoja.

Israel ina fighters jets zaidi ya 270 na hapo hujagusia ndege nyingine kama AWACS, airlifters, tankers, trainers na drones. Bado hunagusia kandarasi waliyosaini kununua advanced F-15 fighters 50 na kufanya modernization ya F-15 zilizopo kwa dola bilioni $20.
Mkuu embu kuwa serious.
Kinachoongelewa sio Israel kushindwa kumiliki ndege 100.
Kinachoongelewa ni Israel kurusha ndege 100 kwa wakati mmoja.
Hiyo Gaza imeharibiwa na ndege zisizozidi 20 halafu unataka uniambie ndege 100 ZISHAMBULIE KWA WAKATI MMOJA eneo dogo kama la Temeke Tandika!??
Embu kuwa serious mkuu.
Hata hizo ndege 200+ za Egypt zilizolipuliwa zilikua zimepaki airbase Israel ikarusha makombora na kuzilipua.
Scenario ni tofauti na hii ya kusema zimerushwa ndege 100 kwa WAKATI MMOJA.
 
Sasa kuna ajabu gani kwenye kurusha ndege 100. Jeshi la anga la Israel halikaagi na unserviceable aircrafts kama ni upgrades au matengenezo yanafanyika haraka. Availability ratio yake ni kubwa sana na marubani wake wanaishi karibukaribu kasoro wachache wanaopishana likizo na wagonjwa. Ni suala la maandalizi ya masaa kadhaa ndege ziko angani.

Israel pale ina majirani wote maadui then unashangaa preparadness yao na fast reaction. Wewe unawalinganisha na nchi za wacheza ngoma hawana adui ndege imeharibika miaka 10 haitengenezwi maana miaka 20 iliyokuwepo ilikuwa imepaki.
Mkuu unajisikia unachoongea!?
Yani eneo dogo sawa na kitongoji lishambuliwe na ndege 100 kwa wakati mmoja!??
Try to be reasonable my friend.
 
Ndege 100 kwa Israel kitu gani mzee. Mbona mwaka 1967 Israel iliharibu ndege zaidi ya 250 za Misri kwa usiku mmoja.

Israel ina fighters jets zaidi ya 270 na hapo hujagusia ndege nyingine kama AWACS, airlifters, tankers, trainers na drones. Bado hunagusia kandarasi waliyosaini kununua advanced F-15 fighters 50 na kufanya modernization ya F-15 zilizopo kwa dola bilioni $20.
Hujaelewa watu wanabishania nini mzeee

Hakuna alosema israhell hana hizo ndege

Anaweza akawa nazo zaidi ya 1000 hajabisha mtu

Na kuripuliwa za misri pia inawezekana

Soma mada kuanzia mwanzo utaelewa watu wanabishiania wapi mzee
 
Ripoti zinasema kuwa timu ya wizara ya usalama huko Israel imetakiwa kufanya mkutano wa dharura mapema leo asubuhi kutokana na hujuma huyo ya Hizullah ya kulipiza kisasi cha kamanda wake.

Harakati ya Hizbullah ya Lebanon iimesisitiza kuwa, iwapo raia wa Lebanon watadhurika "adui Mzayuni" itapewa adhabu kali na iumizayo
Adhabu kali na iumizayo nimeipenda hii kwakweli

Nandio mazayyuni wanavyotaka jino kwa jino tuuu
 
Mkuu embu kuwa serious.
Kinachoongelewa sio Israel kushindwa kumiliki ndege 100.
Kinachoongelewa ni Israel kurusha ndege 100 kwa wakati mmoja.
Hiyo Gaza imeharibiwa na ndege zisizozidi 20 halafu unataka uniambie ndege 100 ZISHAMBULIE KWA WAKATI MMOJA eneo dogo kama la Temeke Tandika!??
Embu kuwa serious mkuu.
Hata hizo ndege 200+ za Egypt zilizolipuliwa zilikua zimepaki airbase Israel ikarusha makombora na kuzilipua.
Scenario ni tofauti na hii ya kusema zimerushwa ndege 100 kwa WAKATI MMOJA.
Ndege zaidi ya 250 za Egypt hazikuharibiwa na makombora, ziliharibiwa na mabomu yaliyodondoshwa na ndege za Israel kwenye anga la Misri. Na kwenye hiyo operation Israel ilitumia ndege nyingi zikidondosha mabomu zinarudi nyumbani haraka zinajaza mafuta na mabomu mengine kwa haraka iwezekanavyo maana ground crew ilikuwa na hiyo training zinaruka tena angani mamia ya kilometa kwenda Misri. Hiyo ni 1967 dhidi ya jeshi kubwa zaidi Middle East kipindi kile, sembuse 2024 dhidi ya Hezbollah.
 
Ndege zaidi ya 250 za Egypt hazikuharibiwa na makombora, ziliharibiwa na mabomu yaliyodondoshwa na ndege za Israel kwenye anga la Misri. Na kwenye hiyo operation Israel ilitumia ndege nyingi zikidondosha mabomu zinarudi nyumbani haraka zinajaza mafuta na mabomu mengine kwa haraka iwezekanavyo maana ground crew ilikuwa na hiyo training zinaruka tena angani mamia ya kilometa kwenda Misri. Hiyo ni 1967 dhidi ya jeshi kubwa zaidi Middle East kipindi kile, sembuse 2024 dhidi ya Hezbollah.
Sasa kuharibu ndege 250 zilizopaki uwanjani kama utapeleka ndege zako 100 tu unaenda kujaza mafuta yanini tena mzeee

Ishu hapa hawakuepeleka ndege 100 ndio inaongelewa

Nakuripua ndege miaka hio sio leo sasa maana hata miaka hio waliokoa mateka kwa saa 24 ila leo wameshindwa mwaka

Mambo hubadilika
 
Sasa kuna ajabu gani kwenye kurusha ndege 100. Jeshi la anga la Israel halikaagi na unserviceable aircrafts kama ni upgrades au matengenezo yanafanyika haraka. Availability ratio yake ni kubwa sana na marubani wake wanaishi karibukaribu kasoro wachache wanaopishana likizo na wagonjwa. Ni suala la maandalizi ya masaa kadhaa ndege ziko angani.

Israel pale ina majirani wote maadui then unashangaa preparadness yao na fast reaction. Wewe unawalinganisha na nchi za wacheza ngoma hawana adui ndege imeharibika miaka 10 haitengenezwi maana miaka 20 iliyokuwepo ilikuwa imepaki.
Hapa kwa israel kua namarafiki wengi waadui ilikua zamani

Adui jordan anaesaidia kutungua drone na kombora alizotumiwa na iran kweli

Au adui misri anaesaidia kupitisha bidhaa zake baada ya kuzuiwa red sea na houthi?
 
Mkuu unajisikia unachoongea!?
Yani eneo dogo sawa na kitongoji lishambuliwe na ndege 100 kwa wakati mmoja!??
Try to be reasonable my friend.
Aah kwahiyo mkuu unawafundisha kazi IAF si ndio. Ulitaka ndege ziwepo ngapi angani.

Iko hivi, wanarusha ndege nyingi zaidi kwa wakati mmoja ili adui awe overwhelmed na mashambulizi. Maroketi yalikuwa programmed kurushwa muda sawa ila Hezbollah wangeanza kuyafyatua mapema kama baadhi yake yangeanza kuharibiwa na ndege sijui mbili tatu angani.
Hivyo Israel ilitrack launching facilities ikataka izipige within few minutes kiasi kwamba muda wa kurespond na kufyatua lolote lililokuwa tiyari haupo.

Kama unafuatilia Hezbollah hawana maroketi yenye aiming kubwa, wao wanalenga uelekeo tu kisha wanafyatua kwa pamoja haraka haraka kisha wanakimbia ili baadae Israel ikishambulia launching sites wasiwepo eneo la tukio.

Israel ni mabingwa wa preemptive strike. Au na lile la Misri wangepeleka ndege tano tano waende kwa kuzubaa ili Misri irushe ndege zake angani. Ni kufumba na kufumbua huna chako.
 
Aah kwahiyo mkuu unawafundisha kazi IAF si ndio. Ulitaka ndege ziwepo ngapi angani.

Iko hivi, wanarusha ndege nyingi zaidi kwa wakati mmoja ili adui awe overwhelmed na mashambulizi. Maroketi yalikuwa programmed kurushwa muda sawa ila Hezbollah wangeanza kuyafyatua mapema kama baadhi yake yangeanza kuharibiwa na ndege sijui mbili tatu angani.
Hivyo Israel ilitrack launching facilities ikataka izipige within few minutes kiasi kwamba muda wa kurespond na kufyatua lolote lililokuwa tiyari haupo.

Kama unafuatilia Hezbollah hawana maroketi yenye aiming kubwa, wao wanalenga uelekeo tu kisha wanafyatua kwa pamoja haraka haraka kisha wanakimbia ili baadae Israel ikishambulia launching sites wasiwepo eneo la tukio.

Israel ni mabingwa wa preemptive strike. Au na lile la Misri wangepeleka ndege tano tano waende kwa kuzubaa ili Misri irushe ndege zake angani. Ni kufumba na kufumbua huna chako.
Mkuu hauzungumzi na mtoto mdogo hapa.
Unazungumza na mtu mzima.
Hilo tukio la preemptive ulosemea kwanza hakuna madhara yaliyoonekana,pili launching site za Hizbollah ziko palepale.
Mwisho ni kwamba huwezi kutumia ndege 100 kwa eneo dogo kama la kitongoji,tusidanganyane hapa.
Unajua mabomu ya ndege 100 yanaweza kuleta athari ukubwa gani!!??
Ukisemea ishu ya Egypt yalitumika makombora na ndege pia.
Yani danganya unavyodanganya ila huwezi ukarusha ndege 100 kwa wakati mmoja kulipua eneo dogo kama maji matitu.
Pia Hizbollah ndio walianza kushambulia kwa kutumia rocket za katyusha.
Ila wanazo precision guided missiles ambazo wanaweza kuzirusha popote Israel.
 
Hapa kwa israel kua namarafiki wengi waadui ilikua zamani

Adui jordan anaesaidia kutungua drone na kombora alizotumiwa na iran kweli

Au adui misri anaesaidia kupitisha bidhaa zake baada ya kuzuiwa red sea na houthi?
Huko kote mie wala sina shida naye.
Shida yangu hapa kutaka kuaminisha watu kuwa Israel amerusha ndege 100 kwa wakati mmoja na kushambulia.
😂😂😂😂Aisee sisi sio watoto.
 
Hapa kwa israel kua namarafiki wengi waadui ilikua zamani

Adui jordan anaesaidia kutungua drone na kombora alizotumiwa na iran kweli

Au adui misri anaesaidia kupitisha bidhaa zake baada ya kuzuiwa red sea na houthi?
Adui Jordan aligundua kwa maumivu makubwa kuwa Wapalestina hawadhaminiki. Bado Jordan ikagundua Waarabu wengine ni wanafiki wanataka kutoa msaada wa vyakula na dawa alafu wanaopigana wawe Jordan waumie. Anayetaka kuipiga Israel apeleke jeshi mwenyewe na humuoni. Sasa cha kufia nini.

Adui Misri yeye ana hasara akiiwekea vikwazo vya usafiri Israel. Kwani hujui kuweka naval blockade ni act of war. Sasa Misri ina ubavu wa kuingia vitani na Israel?
Au hujui kama Israel iliishambulia Misri tarehe 5 June baada ya Misri kuifungia access ya maji Israel tarehe 22 May.
Misri izuie meli kuingia Israel alafu Israel ipitishe meli makusudi, ili Misri itimize kufungia lazima izishambulie kama isiposhambulia basi katazo lake ni batiri. Sasa unataka Misri ichokoze nyuki? Au unalinganisha Misri na Houthi wavuta shisha, wale Houthi utaitetea Yemen useme ni wahuni kwahiyo Wayemeni wasamehewe kwa makosa ya wachache. Sasa jeshi la Misri lenye serikali rasmi na utulivu lifabye hivyo utaiteteaje Misri.

Na kwa bidhaa nyingine, bado Misri ina hasara kuinunia Israel. Wote wanafaidika si ni majirani.
 
Mkuu hauzungumzi na mtoto mdogo hapa.
Unazungumza na mtu mzima.
Hilo tukio la preemptive ulosemea kwanza hakuna madhara yaliyoonekana,pili launching site za Hizbollah ziko palepale.
Mwisho ni kwamba huwezi kutumia ndege 100 kwa eneo dogo kama la kitongoji,tusidanganyane hapa.
Unajua mabomu ya ndege 100 yanaweza kuleta athari ukubwa gani!!??
Ukisemea ishu ya Egypt yalitumika makombora na ndege pia.
Yani danganya unavyodanganya ila huwezi ukarusha ndege 100 kwa wakati mmoja kulipua eneo dogo kama maji matitu.
Pia Hizbollah ndio walianza kushambulia kwa kutumia rocket za katyusha.
Ila wanazo precision guided missiles ambazo wanaweza kuzirusha popote Israel.
Okay sio ndege 100 ni ndege ngapi mkuu kulingana na briefings mlizofanya hapo Defence HQ ukiwa mmojawapo ya wajumbe.
Maana unaonekana kujua sana kuliko waliofanya tukio wenyewe na kama unapinga taarifa yao toa ya kwako sahihi.

Alafu kitu kingine ambacho huzingatii, sio kila ndege ya Israel ikiwa angani kazi yake ni kushambulia. Nyingine ni monitoring, nyingine kutoa coordinates, nyingine nyingi ziko angani kushambulia rockets na missiles za adui zikiwa angani kusaidiana na mifumo ya ulinzi wa anga. Nenda hata YouTube kuna clips hata AH-64 Apache zinaharibu aerial targets. Wanarusha ndege nyingi kwa pamoja sababu rockets zingerushwa kwa pamoja.
 
Wakati huo huo, tovuti ya Kiebrania ya Walla imetangaza kuwa mnamo mwezi uliopita wa Julai, makombora 1,091 yalirushwa kutoka Lebanon kuelekea Israel (Palestina inayokaliwa kwa mabavu), kiwango ambacho ni mara tatu zaidi ikilinganishwa na ilivyokuwa mwanzo wa mwaka.
4c6g5714a0bbc62j1gu_800C450.jpg
Makombora ya Hizbullah
Tovuti hiyo ya Kizayuni imeendelea kueleza kwamba, tangu yalipoanza mapigano na Hizbullah ya Lebanon tarehe 8 Oktoba 2023, hadi sasa Wazayuni 43 wameuawa na watu 271 wamejeruhiwa.

Wakati huo huo, Brigedi za Izzuddinul-Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS limeeleza katika taarifa kwamba, limekishambulia kwa ndege isiyo na rubani kituo cha kijeshi cha Kizayuni kinachosimamia udhibiti na uongozaji wa shughuliz za kijeshi katika ukanda wa Netzarim.

Kwa miezi kadhaa sasa na kufuatia jinai za kutisha zinazofanywa na utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza na mauaji ya kimbari ya Wapalestina wa eneo hili, harakati ya Muqawama ya Hizbullah imeshambulia ngome na vituo kadhaa vya kijeshi vya utawala huo haramu kaskazini mwa ardhi zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina bandia la Israel; jambo ambalo limezusha hofu kubwa kwa Wazayuni wanaoishi katika maeneo hayo.

Hadi sasa mamia ya maelfu ya Wazayuni wamevihama vitongoji vya walowezi karibu na mipaka ya Lebanon kwa kuhofia mashambulizi ya Muqawama.../
 
Okay sio ndege 100 ni ndege ngapi mkuu kulingana na briefings mlizofanya hapo Defence HQ ukiwa mmojawapo ya wajumbe.
Maana unaonekana kujua sana kuliko waliofanya tukio wenyewe na kama unapinga taarifa yao toa ya kwako sahihi.

Alafu kitu kingine ambacho huzingatii, sio kila ndege ya Israel ikiwa angani kazi yake ni kushambulia. Nyingine ni monitoring, nyingine kutoa coordinates, nyingine nyingi ziko angani kushambulia rockets na missiles za adui zikiwa angani kusaidiana na mifumo ya ulinzi wa anga. Nenda hata YouTube kuna clips hata AH-64 Apache zinaharibu aerial targets. Wanarusha ndege nyingi kwa pamoja sababu rockets zingerushwa kwa pamoja.
Umesoma taarifa waliyotoa Israel??
Huwenda unabishana pasi na kujua taarifa imeandikwaje.
Israel wamesema wametuma ndege 100 za kushambulia.
Kila chombo cha habari kinatoa hiyo taarifa kikisema "inasemekana".
It means sio habari yenye uhakika.
Unapodanganya watu angalia unawadanganya kwa uongo gani.
Usidanganye kwa kupitiliza hivi.
Hilo eneo ni dogo sanaaa kwa kuzunguka ndege 100 kwa pamoja na kufanya mashambulizi.
Wacha nirudi katika mada naona nabishana kitu kisichostahili.
 
Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imekishambulia kwa makombora kadhaa kituo cha uongozaji wa shughuli za anga cha Meron cha utawala wa Kizayuni wa Israel na kubomoa mitambo ya ujasusi ya kituo hicho.

Hizbullah imeeleza katika taarifa kwamba, katika kuwaunga mkono wananchi wanamuqawama wa Palestina katika Ukanda wa Ghaza imetekeleza operesheni ya makombora dhidi ya kituo cha uongozaji wa shughuli za anga cha Meron kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kuteketeza mitambo ya ujasusi ya kituo hicho.

Redio ya Jeshi la utawala wa Kizayuni nayo pia imeripoti kuwa: kituo cha uongozaji wa shughuli za anga cha Meron kimepigwa kombora na Hizbullah, ambalo limerushwa kutokea kusini mwa Lebanon.
 
Back
Top Bottom