Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Mbona una kichwa kigumu sana kuelewa? Nimemwelekeza mwenzako awe anatembelea apps za habari kama X kwa sasa ipo "live and direct" kwa habari nyingi za kidunia kuliko kuendelea kusubiria hapa JF.Hii ndiyo source?
Wote hao (Judaism and Islam) ni wazee wa jino kwa jino (agano la kale)... vita yao kwisha ni mbinde.. hawana mambo ya samehe 7*70 au akupigae shavu la kulia mpe na la kushoto (Christianity)... First born na Last born hao watapigana kwa muda mrefu sana.Yaudi akipiga lazima asepe na kiongozi.
All in all haya mambo ifike mahali yafike tamati. Njia anazotumia Hamas na washirika wake zinaonekana wazi zimefeli, warudi tu mezani wamalize huu mzozo. Watu wanakufa asee.
Sheikh nimeomba habar ya kuuwawa IDF 15 kule Gaza unaniletea mawaidha hii sio haki kabisa.Usitegemee kupata habari kutoka JF tu download app ya X zamani tweeter utaona mengi kwa sasa hiyo ndo habari ya mjini. Una habari Leo asubuhi Hezbollah wameichakaza vibaya sana Airbase ya Israel iliyopo Mount Meron huko kaskazini mwa Israeli?
View attachment 3077327
Acha porojo sheikh leta source ya habari yakoMbona una kichwa kigumu sana kuelewa? Nimemwelekeza mwenzako awe anatembelea apps za habari kama X kwa sasa ipo "live and direct" kwa habari nyingi za kidunia kuliko kuendelea kusubiria hapa JF.
Dogo ww ni Ashki majununni nimekupuuza🙄😜Mbona Hezbollah wamempitishia drone Netanyahu mpaka chooni kwake anapokunya na Israel hawajafanya lolote?
Naona mmekurupuka kigango kizima kuja kunivamia. Sawa ngoja niitafute kule X niwaleteeSheikh nimeomba habar ya kuuwawa IDF 15 kule Gaza unaniletea mawaidha hii sio haki kabisa.
Naona Kigango kizima mmeshikwa na hasira sana na kuja kunivamia kisa nimesema Hezbollah wameichakaza Airbase ya Israel Leo asubuhi.sawa Haina shida ila tabu ipo pale paleDogo ww ni Ashki majununni nimekupuuza🙄😜
Sawa mna Haki ya kukasirika Haina tatizo lakini huo ndio ukweli kwenye vita Kuna kupiga na kupigwa.Acha porojo sheikh leta source ya habari yako
Mbona taarifa za uhakika zinaonyesha Ali Abd Ali kiongozi wa Hezbollah tawi la Kusini aliuwawa na kombola la Israel tarehe 3 August 2024?Wadau hamjamboni nyote?
Kazi nzito kuwasaka na kuwapeleka jehanam magaidi wa Hezbollah inaendelea kwa kasi kubwa
Muda mfupi uliopita gaidi mwingine ameliwa kichwa na drone ya IDF akiwa kusini mwa Lebanon
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
Soma Pia: Kiongozi Hezbollah kanda ya Kusini Lebanon wa kundi la Southern Front auawa na shambulio la ndege zisizo na rubani za IDF
============
IDF confirms south Lebanon strikes that killed 3 Hezbollah operatives involved in rocket attacks on Israel
The IDF confirms carrying out a drone strike in southern Lebanon’s Ayta al-Jabal (also known as Ayta ez-Zutt) earlier today, killing a prominent Hezbollah operative.
According to the military, Muhammad Najam was a prominent member of Hezbollah’s rocket and missile unit in southern Lebanon.
In a separate incident, the IDF says a Hezbollah operative who had launched rockets at the Yiftah area earlier today and was spotted at a building used by the terror group in southern Lebanon’s Mays al-Jabal, was killed in an airstrike.
Another Hezbollah operative who launched rockets at the Malkia area from southern Lebanon’s Aitaroun, was killed in a separate strike, the IDF says.
TeteeeTupe source na sisi wa Namtumbo tujisomee basi maana nyie wenzetu mko Frontline huko Khan Younis.
Huwa ni mapumbavu kiwango kisichoelezeka.Huku upande mwingine kiongozi mpya wa Hamas Yahya Sinwar amewataka Israel kumhakikishia usalama na uhai wake ili waweze ku negotiate any hostages deal sababu kwake suala la ‘necessary sacrifice’ hali apply.
Hujitambui! Sisi tunataka bikira wew unaleta story za kurudi mezani tenaYaudi akipiga lazima asepe na kiongozi.
All in all haya mambo ifike mahali yafike tamati. Njia anazotumia Hamas na washirika wake zinaonekana wazi zimefeli, warudi tu mezani wamalize huu mzozo. Watu wanakufa asee.
Sasa mlimani hapo kuna nini mbona wasishambulie Tel Aviv au Jerusalem tuone kama hawatapelekwa kwa mabikra 72 wenye macho kama mayai.Usitegemee kupata habari kutoka JF tu download app ya X zamani tweeter utaona mengi kwa sasa hiyo ndo habari ya mjini. Una habari Leo asubuhi Hezbollah wameichakaza vibaya sana Airbase ya Israel iliyopo Mount Meron huko kaskazini mwa Israeli?
View attachment 3077327
Hizo ni porojo za masjid ubwabwa tu, hamna kitu kama hicho.Sheikh nimeomba habar ya kuuwawa IDF 15 kule Gaza unaniletea mawaidha hii sio haki kabisa.
Yeye hataki kufaidi bikira 72?Huku upande mwingine kiongozi mpya wa Hamas Yahya Sinwar amewataka Israel kumhakikishia usalama na uhai wake ili waweze ku negotiate any hostages deal sababu kwake suala la ‘necessary sacrifice’ hali apply.
Watakuja kuheshimiana sanaDuh hawa IDF hawapumziki! aisee ila wacha wanyooshane heshima ipatikane.
magaidi siku zote ni wabinafsi, wanatanguliza watoto wa wenzao wafe wakiwadangaya wanapigana jihad huku wao wamejificha kwenye mashimoHuku upande mwingine kiongozi mpya wa Hamas Yahya Sinwar amewataka Israel kumhakikishia usalama na uhai wake ili waweze ku negotiate any hostages deal sababu kwake suala la ‘necessary sacrifice’ hali apply.
Weka link hapaAl qassam Bregade huko Gaza naona wao wamejibu kwa kuondoka na vichwa 15 vya IDF ngoja tusubiri Hezbollah nao watajibu vipi maana ndo mida Yao hii kuachia vitu. Don't stay away